Gongo la mboto in pictures....

Hivi magari ya JWTZ kwanini hayakusaidia katika janga hili? Kwa nchi za wenzetu askari ndo wangeonekana mstari wa mbele kusaidia wahanga - hii ni pamoja na kuwabeba walemavu, wagonjwa na vikongwe migongoni (hii nachukulia mfano wa China ...) nashindwa kuelewa kabisa
 
Kijana unamaanisha na sisi tuyazoee au? Hivi waliochanwa uso, waliopata BP na waliokufa nao walikanyagana??:twitch:

tungekuwa na serikali serious kweli lakini kwa mkwere hakuna la maana ni sanaa tupu ni bora watu warudi tu waanze kujenga upya nyumba zao
 

Mkazi huyu wa Gongolamboto akimuonesha askari wa
jeshi la wananchi wa Tanzania (JWTZ) Kuta iliyopenyuliwa
na Bomu kutoka Ghala la Ukonga.​

1 Maoni Links to this post



Kwa masikitiko makubwa wakazi hawa wa Gongolamboto
wakitazama uharibifu mkubwa uliofanywa na bomu lililogonga
jengo hili na kusababisha hasara ambayo mpaka sasa haijajulikana.

0 Maoni Links to this post




Habari Katika Picha-Mabomu Gongolamboto


Wakazi wa Gongolamboto wakitazama kwa hofu​
kipande cha Bomu kilicholipuka.​



Nimeipenda sana ile picha ya kwanza...mzee wangu wa Gongolamboto akimuonyesha askari wa JWTZ anayekusanya taarifa za kiitelinjensia jinsi bomu LILIVOPENYUA ukuta...aaaah
 
Back
Top Bottom