Naona bado unakumbuka na wala ujasahau! Ungekuwa umesahau usingebandika bandiko hilo.Hivi hili la Gongo la Mboto si namna fulani ya kutusahaulisha na hot issues zinazotuzungusha i.e malipo Dowans, na wazo la kutaka kuwasha mitambo yao haramu? Mnalionaje hili wakuu?
Yaani acha tu mkuu
Hivi unapomwona rais wa nchi anachekelea kwa tukio ka hili tena mbele ya wapiga kura wake unapata picha gani! Kuna cha kucheka hapo? Au hii ndo dawa ya kupanua uwanja wa ndege?As usual Mkulu full smile.....Mwamunyange as well...very happy indeed