kunatetesi zinazoenelea kuzagaaa huku mitaani yakuwa mh LEMA huenda akawa NAIBU katibu mkuu wa chama hicho. nahili linatokana na mh zitto kushindwa kufanya kazi za chama kwa muda mrefu sasa na kukaa kimya na badala yake kazi hizo zimeonekana kufanywa na kamanda LEMA, wadau mnasemaje kuhusu hili?