Shkh Yahya
Senior Member
- Oct 1, 2010
- 100
- 5
sasa mnachobisha nininiiiiii? mimi kusema ukweli? ninayo yanena humu niukweli mtupu zitto amekitupa chama muda mrefu,, acheni LEMA apewe hiyo nafasi chama kisonge mbele kama matarajio yetu sote, LEMA anaweza jamani
Ilala huyu jamaa anavyoonyesha anatumiwa..maana kumbe amejiunga jana tu tarehe 4, lol!!!