wakristo tumefundishwa kusamehe sasa sielewi ni Mungu gani atakayepokea hayo maombi ya kulipiza kisasi
Atayapokea tu mkuu kwa kuwa anasema yeye ndiye awezaye kulipa kisasi kwa kiwango kinachofaa, hivyo alipokataza mwanadamu kulipa kisasi, alijua hatuwezi kufikia viwango timilifu.
Kwa hiyo usiwe na wasiwasi kamanda, kesi imefika kwa hakimu wa HAKI.