LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
wana jf, gazeti la mwananchi la leo tarehe 6 april 2012 limeandika godbless lema amefungiwa kugombea ubunge kwa kipindi cha miaka mitano. Je,habari hii ya kufungiwa miaka mitano ni ya kweli?
Yote ya yote utapata kesho majaliwa ktk uwanja wa NMC!
Utapata live bila chenje majibu haya kupitia JF only na kwa muda muafaka toka meza kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo!
Mhalisi!
Using'atuke kwenye mtandao kijana!