wakomong'we
Member
- Oct 28, 2011
- 30
- 2
kabla ya kutuonesha mafanikio ya mh Godblees Lema nafikiri ni vyema ungetueleza ahadi alizozitoa kwenye kampeni wkt wa uchaguzi, vinginevyo itakuwa ni kupoteza muda. nawasilisha.
kabla ya kutuonesha mafanikio ya mh Godblees Lema nafikiri ni vyema ungetueleza ahadi alizozitoa kwenye kampeni wkt wa uchaguzi, vinginevyo itakuwa ni kupoteza muda. nawasilisha.
kabla ya kutuonesha mafanikio ya mh Godblees Lema nafikiri ni vyema ungetueleza ahadi alizozitoa kwenye kampeni wkt wa uchaguzi, vinginevyo itakuwa ni kupoteza muda. nawasilisha.[/QUOT
Kinyesi on work
kabla ya kutuonesha mafanikio ya mh Godblees Lema nafikiri ni vyema ungetueleza ahadi alizozitoa kwenye kampeni wkt wa uchaguzi, vinginevyo itakuwa ni kupoteza muda. nawasilisha.
Nahitaji kusoma nakala ya Hukumu kama nitaona kuna dalili za CCM kuingilia kwa mchakato wa kesi husika, nitajitoa rasmi CCM na kujiunga na CHADEMA.
Haiwezekani kila mahala panajisiwe kwa ajili ya interest ya kundi la wachache, hata mahakama iliyotakiwa kuwa mzani na kimbilio la wote inajisiwe?? Hapana, nahitaji niisome hiyo hukumu...kabla ya kufanya maamuzi.
hahahahaaa hizi kweli ramli!
wana jf, gazeti la mwananchi la leo tarehe 6 april 2012 limeandika godbless lema amefungiwa kugombea ubunge kwa kipindi cha miaka mitano. Je,habari hii ya kufungiwa miaka mitano ni ya kweli?