Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
CDM call for harambee we need to build a party now, lipa mishahara biongozi wa Matawi yote, we can do that, mimi kwenye kata yangu nitawalipa for one year, basic salary! Nimeamua! Najua mna uchungu sasa onyesheni kwa action not words anymore!
 
Hakuna haja ya rufaa, rufaa itachukua muda mrefu kama ilivyochukua hii kesi. Turudi kwenye kura, jaji mkuu (Umma wa Arusha) atamua bila kuogopa chama tawala.

in fact mi si mtaalamu wa sheria lakini tukienda kwenye uchaguzi,ccm wanaweza kuja na pingamizi kwamba Mh G Lema alikiuka maadili ya uchaguzi au pingamizi lolote na ccm na tume sabbu NEC si huru ikakubali wakabaki bila competition ya CDM ambayo wanajua fika hawaiwezi embu mwanasheria mmoja anisaidie ktk hili,mind this is not full democratic country
 
kama ni kweli sheria haimruhusu Lema kugombea basi kuna ulazima wa Dr.Slaa kugombea
 
pole sana kwa udharirishaji mkubwa wa mahakama uliyotokea hii ni classic example ya judicial abuse.Naomba ukate rufaa kwa sababu jaji alichokifanya amekifanya kwa sababu ya pesa kama ambavyo ilionekana toka mwanzoni kwa kitendo chake cha kungangania Batilda aje ku testify wakati mwenyewe hataki ilikuwa ni kwa ajili tuya justify hukumu yake ya kupika. ombi langu kwako ni kwamba jaji yeyote atakayesikiliza kesi bila kuongwa lazimaataibatilisha kwa sababu it has no leg to stand on na yeye jaji huyu analijua hilo amefanya alichokifanya ili awalie pesa zao wahusika ili baadaye itapobatilishwa awaambie nilishafanya kazi yangu lakini amekuja mwingine amebadililakini wakati huo huo ameshatia pesa kibindoni. kuhusu swala la kuchukua muda mrefu kwy rufaa naomba uipe miezi miwili kama haijaisha withdrawal rufaa yako ili uchaguzi uitishwe upya.
mkuu mi siiungi mkono hoja hio kwani huu ni mpango umeandaliwa kabisa ili akate rufaa na hio itapigwa danadan mpaka hio miaka iliyobaki itaisha haina maana kukata rufaa twende kwenye uchaguzi mdogo tatizo liko wapi!?hata umlete jaji gani si walewale tuu hawa hawaamui kwa kufuata sheria wanapewa maagizo na kundi la mafisa wenyewe ni kusoma tuu ila sio waamuzi mahakama ineingiliwa na mafisadi kwa sasa tanzania hakuna haki tena!! na hii ni hatari sana kwa nchi maskini kama hii. ilaaaaaaaaaaaaaaa MUNGU ndie mwamuzi wa mwisho ccmchoo itaadhibiwa na MUNGU na itadhalilika vibaya na itakufa kifo cha aibu sana.
 
Kama mbwai mbwai tu, chadema ikate rufaa.

Huyu jaji anadhihirisha wazi bila kificho kwamba ametoa hukumu isiyo halali kama kweli kifungu alichokisoma mbele ya kadamnasi sicho alichokiandika kwenye ruling yake, na kwa namna hiyo atakuwa ameidhalilisha sana mahakama na kuishusha mno hadhi yake, na kwa hali hiyo anaifanya mahakama iendelee kutoaminiwa na wananchi.

Ni jambo ambalo halikutarajiwa kwamba ubunge wa Lema utenguliwe halafu asizuiwe kugombea, tangu mwanzo nilikuwa sijaamini taarifa hiyo kwakuwa ccm wanaamini mwiba mchungu kwao ni lema, kwahiyo ni lazima wamuweke benchi. Lakini uzuri mmoja wa arusha ccm hawawezi kushinda ubunge hata lema asipogombea.
 
Vyema.

Chama chochote makini uchukua precautions kabla ya kutoa maamuzi yoyote. Kama nilivyomwelewa Lema, ni kwamba yeye anasubiria maamuzi ya chama juu ya hili suala. Hivyo naamini CHADEMA watachukua tahadhari zote kabla ya kutoa maamuzi yoyote.

Pamoja mkuu.

Kabisa. Wala sidhani kama kuna haja yoyote ya Chadema kuanza tena kufanya maandamano kwa hili suala. Hapa ni ukomavu wa kisiasa unahitajika hasa kwa wafuasi wa Chadema hata kama wanaamini 100% wamedhulumiwa.
 
Vyovyote itakavyokuwa ukweli ni kwamba nguvu ya UMMA ni nguvu ya MUNGU binadamu yoyote aliyezaliwa na mwanamke hawezi pingana nayo. CDM watalichukua tena jimbo la Arusha mjini.
 
Arusha tena? Kabla watu hawajakaa sawasawa baada ya Arumeru wanarudishwa tena Arusha.

Hakuna haja ya kukata rufaa kama hajawa implicated kwenye rushwa na kuzuiwa kugombea. Waingie ulingoni tu. Najua CCM itakuja na mtu mwingine ila kwa Arusha sijui ushindi wa CCM utatokea upande gani. Japo kuna watu hawamkubali Lema lakini wana hasira kubwa na CCM hivyo CDM ikimsimamisha mtu yeyote hata asipokuwa LEma wana asilimia zaidi ya 70 za ushindi.
 
Naona kuna Mitanzania(inatumika vibaya na gov!Hasa ile mioga naminafiki ktk maisha) imeamua kuliingiza taifa hasara kwakutumia chaguzi ndogo!Mtaona kama Arusha mtashinda!
 
pole sana kwa udharirishaji mkubwa wa mahakama uliyotokea hii ni classic example ya judicial abuse.

Naomba ukate rufaa kwa sababu jaji alichokifanya amekifanya kwa sababu ya pesa kama ambavyo ilionekana toka mwanzoni kwa kitendo chake cha kungangania Batilda aje ku testify wakati mwenyewe hataki ilikuwa ni kwa ajili tu
ya justify hukumu yake ya kupika. ombi langu kwako ni kwamba jaji yeyote atakayesikiliza kesi bila kuongwa lazima
ataibatilisha kwa sababu it has no leg to stand on na yeye jaji huyu analijua hilo amefanya alichokifanya ili awalie
pesa zao wahusika ili baadaye itapobatilishwa awaambie nilishafanya kazi yangu lakini amekuja mwingine amebadili
lakini wakati huo huo ameshatia pesa kibindoni. kuhusu swala la kuchukua muda mrefu kwy rufaa naomba uipe miezi
miwili kama haijaisha withdrawal rufaa yako ili uchaguzi uitishwe upya.

Hatuna muda wa kupoteza na isitoshe kwa jinsi hukumu ilivyokaa kimtego hakati rufaa na wala hagombei tena Dr. anakuja hapa kudadadeki.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom