MADAXWEYNE
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 1,543
- 3,341
source please!!
Ni kweli Lema kapigwa chini.
source please!!
Mkuu PakaJimmy,
Nilijua Lema atapigwa chini ushahidi wa wanaCCM ulikuwa mzito sana sijui kama ataruhusiwa kugombea walioko mahakamani tafadhali mtujuze kinachoendelea.
issue sio kurudiwa tena, tatizo mda na rasilimali tunazopoteza, embu ona hadi leo madiwani hawajachagua arusha, tatizo nini? possible kesi hiyo ikaendelea hadi karibia na uchaguzi mkuu huku jimbo la arusha likikosa muwakilishi, hii nchi sasa imeoza yote pamoja na watu wake. yaani kweli demokrasia inabakwa hivi hivi halafu mitanzania tunaangaliana kama mikondoo?????Credit nzuri kwa Chadema. Uchaguz ukirudiwa Lema atapta tena na ndo kitakuwa kifo cha CCM
Are you siriazi mkuu?