AirTanzania
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 1,139
- 1,033
kaka wapi tena hii source please
Mahakama
kaka wapi tena hii source please
Lema amepigwa chini. Reasoning ya jaji inaonyesha alihongwa. The way forward ni kwenda Court of Appeal. Hata hivyo ccm wahangaika bure maana hata uchaguzi ukirudiwa leo watapigaragazwa kwa mbali
ni kweli mkuu...vyombo vingi vya habari hapa Arusha vinatangaza.......
Lema amepigwa chini. Reasoning ya jaji inaonyesha alihongwa. The way forward ni kwenda Court of Appeal. Hata hivyo ccm wahangaika bure maana hata uchaguzi ukirudiwa leo watapigaragazwa kwa mbali
source please!!Lema amepigwa chini. Reasoning ya jaji inaonyesha alihongwa. The way forward ni kwenda Court of Appeal. Hata hivyo ccm wahangaika bure maana hata uchaguzi ukirudiwa leo watapigaragazwa kwa mbali
Hakuna haja ya kuappeal tushindane na Magamba tutawashinda tu