Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,262
D.A hapo kwenye blue usipotangaza ndoa in most cases unatoka kapa... hata kama tayari unayo na mhusika anajua na anafahamu fika kuwa huruhusiwi kuoa zaidi ya mmoja kwa mujibu wa imani yako lakini wapi bwana.... ndo maana huwa nasema kuwa akina dada hupenda kudanganywa sometimes!!
Haya maneno siamini kama yanatoka kwako.............unatongoza wangapi na gia hiyo Mkirua wewe