figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
siyo mvulana anakusemesha kidogo tu unakimbilia"nioe".kwani unafikiri kuolewa ndo kila kitu duniani?kwani lazima boyfriend wako akuoe?kwanini usimchukulie kama friend tu?mwenzio siwaelewi.mia
mbona wanaume nao wanaingia na gia ya ntakuoa,......tubadili tabia
mbona wanaume nao wanaingia na gia ya ntakuoa,......tubadili tabia
na wengine wanadiriki hata kukuita husband......
Hapo chacha
Ni kweli kabisa Igwe hizo gia nilikutana nazo nyingi tu ujanani.
nioe miasiyo mvulana anakusemesha kidogo tu unakimbilia"nioe".kwani unafikiri kuolewa ndo kila kitu duniani?kwani lazima boyfriend wako akuoe?kwanini usimchukulie kama friend tu?mwenzio siwaelewi.mia
i despise them.miawatu wako desparate out there jamani.