figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
- Thread starter
- #21
sawa mpenzi.sio kwamba nakuchezea tu,mimi ntakuoa,nataka kwanza nikuvalishe pete ili uwe na uhakika na mimi.sherehe ya kuvalishana pete tukafanyie wapi?.mianioe mia
sawa mpenzi.sio kwamba nakuchezea tu,mimi ntakuoa,nataka kwanza nikuvalishe pete ili uwe na uhakika na mimi.sherehe ya kuvalishana pete tukafanyie wapi?.mianioe mia
Mwengine mnakutana leo halaf kesho yake unamkuta dukani anajipima shela la halusi!anapiga simu anasema hallow mume wangu halafu anakulazimisha ujibu hallow mke wangu......duh!
Mwengine mnakutana leo halaf kesho yake unamkuta dukani anajipima shela la halusi!
Khaaa! tumuogopeni Mungu wajameni
anapiga simu anasema hallow mume wangu halafu anakulazimisha ujibu hallow mke wangu......duh!
Mwengine mnakutana leo halaf kesho yake unamkuta dukani anajipima shela la halusi!
Khaaa! tumuogopeni Mungu wajameni
Halaf mnajifanya kushangaa kama sio nyie vile. heheheKha wewe Kloro wewe shela tena mara moja hata engagement haijafanyika?? Hiyo ni kiboko aisee
Hii thread imenifanya nimkumbuke Kokudo kabisa leo dah unavituko wewe kijana na nyie wanaume mbona mnakuja na gia ya nitakuoa??
D.A hapo kwenye blue usipotangaza ndoa in most cases unatoka kapa... hata kama tayari unayo na mhusika anajua na anafahamu fika kuwa huruhusiwi kuoa zaidi ya mmoja kwa mujibu wa imani yako lakini wapi bwana.... ndo maana huwa nasema kuwa akina dada hupenda kudanganywa sometimes!!
Manji.....be Smart banaHiyo heading mbona inafanana na ya Invisible ya jana kule kwenye uwanja wa siasa!
Dah! hapa greti thinka kipipi kaongea kwa hasira kweli aisee!Usmart gani hapa unaouzungumzia? Nyie mnavowalaghai madada wa watu kila siku kwa kuwapa matumaini na hiyo midomo yenu iliyojaa uongo ndo mnajiona mko smart? Hivi unapomtongoza dada wa watu alaf akigeuka nyuma unamng'ong'a kisogo maana yake nini? Au nayo ni sifa? Sema basi ukweli kama umemtamani na hauna nia ya kumuoa ili ijulikane moja kama atakubali au atakataa sio ucheze na hisia za mwenzako alafu uje kumwambia eti awe smart!!
Dah! hapa greti thinka kipipi kaongea kwa hasira kweli aisee!
Mbaya bana! waswahili wameiba singlendi yangu ya chikago bullz.Habari yako?