Ghorofa la Bernald Membe - Wizi Mtupu

Mbona ni jengo la kawaida tu hilo kulingana na cheo chake. Mbona wajasiliamali wakawaida wanavyo vitu vikali zaidi.
 
Mbona nyumba ya kawaida tu hiyo? Kwa miaka aliyofanya kazi nilikuwa nategemea liwe ni gorofa kweli na siyo hako kagorofa hapo.

Kumbukeni siku hizi kuna access ya loans na other financing facilities.
Akili zako ziko swa kweli???? Tathmini ya haraka unadhani thamani yake ni kiasi gani hapo?
 
Membe katafuna pesa iliyotolewa na libya kujenga kiwanda cha cement mtama lindi.ushahidi upo
 
Mbona ni jengo la kawaida tu hilo kulingana na cheo chake. Mbona wajasiliamali wakawaida wanavyo vitu vikali zaidi.

Sunshow inawezekana una kengeza; Pia sioni relationship yoyote kati ya cheo cha serikalini utajiri. Pia umeshasema wajasiriamali wa kawaida wanayo, je huyu bwana ni mjasiriamali au mtumishi wa serikali?
 
Mbona nyumba ya kawaida tu hiyo? Kwa miaka aliyofanya kazi nilikuwa nategemea liwe ni gorofa kweli na siyo hako kagorofa hapo.

Kumbukeni siku hizi kuna access ya loans na other financing facilities.

Mkuu Rejao,
Hivi katika hali ya makundi kundi mliyonayo ndani ya chama cheni wewe upo kundi gani kati ya makundi matatu makubwa (Yaani Kundi la Membe, Lowassa na Sitta)?

TUMBIRI wa JF,
tumbiri@jamiiforums.com
 
Last edited by a moderator:
Mfumo wa wafanyakazi Serikalini kutokuwa na biashara ulikufa zamani sana. Nyie bora mngezaliwa wakati wa Nyerere. Kwa sasa wala haina mshiko.

Kwa hiyo Anton Diaro alikuwa waziri enzi za Nyerere?.
 
Hili ni ghorofa linalokamilika kwa spidi la Mh. Bernald Membe pale jirani na VETA Mtwara ambapo pia alitaka kukitwaa kiwanja cha VETA ili apate parking. Hapa anajenga hoteli na sitaki niseme ni ghorofa ngapi we hesabu mwenyewe. Kwa wale wasiojua fedha zetu walipa kodi zinakokwenda hadi watoto wa shule kukalia mawe darasani kwa kukosa madawati na wagonjwa kulala sakafuni kwa kukosa vitanda basi jioneeeni wenyewe. Wafanyakazi mnaokatwa kodi mlikuwa mnauliza zinakwenda wapi basi jioneeni wenyewe ndio hapa zimehifadhiwa kwenye hili ghorofa.
Mtu akibisha anieleze ana basis zipi kwani mi ninao ushahidi wa hii picha.

View attachment 54624
Ujenzi ukiendelea wa ghorofa la Bernald Membe: Waziri wa Mambo ya nchi za nje eneo la VETA Mtwara


Membe alishatangaza kuwa mwenye kudai hoteli ni yake au anamiliki hoteli ajitokeze hadharani amtaje kisha yeye ndio atajibu. Kitine hajajitokeza hadharani kujibu hadi sasa. Mimi anachonifurahisha chinga huyu ni kule kujiamini kwake tu.

Sasa changamoto kwako Bw, mvumbuzi nenda pale Maelezo kesho ututangazie kuwa hiteli hio ni ya Membe sisi humu JF tunaweza kukuchangia kwa Mpesa pesa ya kukodisha ukumbi. Usipojitokeza tutaamini nawe ni mmoja wa wale wale.......
 
Membe katafuna pesa iliyotolewa na libya kujenga kiwanda cha cement mtama lindi.ushahidi upo

Kiwanda cha cement kujengwa Mtama? Unaweza kujenga kiwanda Mtama? Tena cha Cement? Kwa kuvutiwa na factor gani? Umeme? Labour? Access to the port au raw material? Basi tuanikie huo ushahidi hapa tuone maajabu ya karne!
 
Mi sioni shida waziri kujenga ghorofa!! suala ni namna alivyopata hizo hela za kujenga! kama amepata kihalali hakuna shida, nampongeza sana, kuliko angefanyia mambo mengine ambayo si ya maendeleo!, Tena kama ni hotel atakuwa amefanya jambo zuri zaidi kwani atakuwa ametengeneza ajira kwa watu wa maeneo hayo.
 
Nitaamini vipi kuwa ghorofa hilo ni la Membe?
Tubandikie basi official search kutoka ardhi kuonyesha mmiliki wa kiwanja hicho

bujibuji uko sahihi! Kwa nini lisiwe la Mkapa? mkuchika? hawa Ghasia? Maana hao ni mawaziri wa kutoka Mtwara ambako tunaambiwa hoteli ipo. Membe kwa nini asijenge hoteli Lindi? Hivi kweli mtu aliyekaa Canada miaka 8 na kuzunguka dunia Yote hii ndio akajenge hoteli ya aina ile tena Mtwara? Haiingii akilini mwangu.
 
Naliangalia hili tofauti kidogo! Akheri aibae na kuwekeza humu ndani ya nchi, na hasa maeneo yale yenye ukame wa uwekezaji Kama Mtwara! Ni tatizo la ukweli, viongozi wetu ni walafi, wanatumia nafasi zao kujinenepesha! Wengi huwekeza Njie kabisa lakini hili ligorofa la mwenzetulitatumia walau ajira ya wabongo 10 kwa mahesabu ya watumishi 2 kwa Kilala salary/floor

Membe Kama umetuibia laana yetu itakufikia tu, 2015 sio mbali
 
Mbona ni jengo la kawaida tu hilo kulingana na cheo chake. Mbona wajasiliamali wakawaida wanavyo vitu vikali zaidi.

Sunshow, kulingana na cheo chake alitakiwa aishi maisha modest/ya kiasi. Waziri au kiongozi yeyote wa serikali anapogeuka mjasiria mali huzua maswali mengi
 
Kuweka tuu picha na kusema hii ni nyumba ya mtu fulani haitoshi.
Nyumba hazimilikiwi kwa picha. Hapo nikisema ni yangu pia utabisha?
 
Nitaamini vipi kuwa ghorofa hilo ni la Membe?
Tubandikie basi official search kutoka ardhi kuonyesha mmiliki wa kiwanja hicho

kwa niaba ya mtoa mada naomba nikuhahakshie ni ghorofa lake bnafsi nilkuwa kikazi huko hadi mwezi wa 3 mwaka huu. Na nilikuwa naishi eneo hilo la shangani veta.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom