zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
HV mkuu mbona unafanya wana JF ndondocha? HV ni nani asiyejua mshahara wa mawaziri? wengine hawaJui mshahara wa waziri,nnavyojua mimi mshahara wa waziri kabla ya makato ni 2,700,000/=,
Miaka mingapi yupo kwenye uwaziri? hesabu na posho zote. Ukimaliza leta jibu. Miaka mingapi kaanza kuwekeza? kabla ya uwaziri au baada ya uwaziri?
Wacheni usongo.