Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,570
....sidhani labda kuchoka ni umbile tu....maana pia hatujuwi mfumo wa mafao kwa rais mstaafu wa zanzibar au waziri kiongozi unakuwaje....kuna mawaziri kiongozi kama brig.faki..sidhani kama ana maisha mazuri sana...kama Salmini mwenyewe kuna wakati alikosa kulipiwa hata bill ya umeme ..ukakatwa ..na ikafikia hata akakosa gari ....ikabidi aazime gari la shirika la umma zanzibar.......
kama hatutakuwa na mfumo bora wa mafao itawalazimu mawaziri viongozi zanzibar waendelee kuutafuta urais kwa udi na uvumba kwa kuhofia mustakaba wao baada ya kutoka madarakani....na marais kama mfumo wa mafao sio straight forward watabaki wakitamani kuongezewa muda au kutaka kuweka wafuasi wao....
Serikali ya muungano naona mfumo wao wa mafao uko kikatiba na hauna upendeleo ndio maana mawaziri wastaafu wote .....wamestaafu na kutulizana wanakula pension..na hatujapata kusikia malalamiko awe salim,warioba,msuya,malecela,..sumaye na hata marehemu kawawa...
nadhani mtu kama Nahodha he is too young to retire and will soon find himself idle...unless nayeye achukuwe uamuzi wa kwenda kusoma kama Sumaye ...akijipanga kwa mwaka 2025..he will be 58 by then ......na akirudi na nguvu mpya anaweza kuambulia urais wa zanzibar au hata umakamu wa rais ....kama sera za rais atakayekuja zitaendelea kuwa za kupoozana!!!!
Nahodha ameshaambiwa kuna kazi nyingi za kufanya, nadhani anaweza akapewa Waziri wa mambo ya nje