cjiu wamemchagulia nini? huyu mtu alipokuwa katibu mkuu wa wizara fulani, alikuwa mbaguzi sana alitoa sana scholarship kwa watu wa visiwani na sio bara cjui caca itakuwaje, simfagilii kabisaaaaa
hali yake ya kifedha ilikuwa mbaya sana angalau afya itarudi kidogo sasa.
Kama humjui Gharib Bilal hustahili kuwa JF, kwakuwa wewe na siasa ni mbalimbali nenda kwenye michezo na starehe JF..agh!