Gharib Bilal ateuliwa mgombea mwenza wa Kikwete 2010

Jamanihein zote hizo ni mbinu za CCM kupata kura Unguja,maana Shein Pemba ni kapa kabisa,na ZNZ walishasema kabisa wanataka Billal,kakosa Urais Znz,sasa imebidi apewe VC hiliz kutafuta kura zr ba Unguja vinginevyo SEIF angepeta kirahisi sana,lakini swali ni Dr Bilal na Jk wataiva chungu kimoja,kwani mitazamo yao ni tofauti kabisa kulia na kushoto- basi tusubiri na tuone.Hata Galib akutegemea kuwa atakuwa MGOMBEA MWENZA ndio maana jana alistuka sana,baada ya jina lake kutajwa.Siasa za Tz NI FITINA TUPU afadhali huu kuliko tuliekuwa tunamsikia Zakia M,maana yeye ni si mtu wa kupigwa changa la macho kwenye EPA.
 
Ninafahamu kuwa Bilal alikuwa senior lecturer wa physics au mathematics hapo UDSM miaka ya themanini kabla hajawa katibu mkuu wa wizara ya elimu ya juu alikokuwa na Mkapa. Sikuwahi kumfahamu wakati akiwa UDSM ila nilikuwa na mixed assessment kuhusu utendaji wake pale waizra ya elimu ya juu na mpaka leo sikumbuki jambo la maana alilofanya kukabiliana na migogoro katika waizara hiyo ya elimu ya juu. Baada ya kuhamia katika serikali ya Zanzibar, sikuwahi kumfuatilia tena kuhusu utendaji wake hivyo nitabaki na mixed views hadi nione utendaji wake. Kwa sasa bado ninaamanini kuwa Dr. Shein (kama alivyokuwa aliyemtangulia Dr Omar-RIP) angeweza kuwa rais mzuri wa Jamhuri ya Muungano baada ya Kikwete.
 
Kwa sasa bado ninaamanini kuwa Dr. Shein (kama alivyokuwa aliyemtangulia Dr Omar-RIP) angeweza kuwa rais mzuri wa Jamhuri ya Muungano baada ya Kikwete.

Kwa sifa ipi Mkuu Kichuguu - hebu tumegee na sisi wengine tufahamu kwani kwangu Dr. Shein ni kama hakuwapo ingawa alikuwa yupo yupo tu. Nina hakika kazi mojawapo ya Makamu wa Raisi ni kumshauri mkubwa wake na kila siku imekuwa ikidaiwa kuwa Mkulu hana washauri wazuri, je Dr. Shein hakuwa mojawapo ? Labda itokee kuwa kuwa ushauri wake ulikuwa hautiliwi maanani na kama ni hivyo tumweleweje kiongozi kama huyo, bado anakazana kutafuta uongozi - ili iweje na roho yake haikumsuta ?
 
Ninafahamu kuwa Bilal alikuwa senior lecturer wa physics au mathematics hapo UDSM miaka ya themanini kabla hajawa katibu mkuu wa wizara ya elimu ya juu alikokuwa na Mkapa. Sikuwahi kumfahamu wakati akiwa UDSM ila nilikuwa na mixed assessment kuhusu utendaji wake pale waizra ya elimu ya juu na mpaka leo sikumbuki jambo la maana alilofanya kukabiliana na migogoro katika waizara hiyo ya elimu ya juu. Baada ya kuhamia katika serikali ya Zanzibar, sikuwahi kumfuatilia tena kuhusu utendaji wake hivyo nitabaki na mixed views hadi nione utendaji wake. Kwa sasa bado ninaamanini kuwa Dr. Shein (kama alivyokuwa aliyemtangulia Dr Omar-RIP) angeweza kuwa rais mzuri wa Jamhuri ya Muungano baada ya Kikwete.

Nakumbuka Bilal akiwa Katibu Mkuu Elimu ya juu na mkapa akiwa waziri, Bilali alikuwa ndiye kinara pale. Enzi hizo miaka ya tisini nilikuwa nasoma ktk mojawapo ya vyuo vya elimu juu. I dont remember Bilal having any added value zaidi ya kuwa chanzo cha migomo ktk vyuo kutokana na lugha zake za kibabe na za hovyo. Nakumbuka mwaka 1994 alikwenda Dar Tech na wanachuo waliondoka wakamsusia na kumtukana wakamwacha kwenye Hall la mikutano.
I am wondering mstakabali wa nchi hii unakwenda wapi!!!!!!! Udini, lugha za kibabe, fitina.......

Miaka mitano haitafika hakuna atakayekuwa na hamu na Bilali.
Bora wangempa H. Mwinyi, Bilal's era imeshapita!!!!!!!!
 
Wakati Bilal akiwa katibu mkuu wizara ya elimu ya juu na teknolojia, alitusumbua wakati ninasoma UDSM miaka ya 90 katikati. Mkigoma ndipo malipo yanatoka. Aliwahi kudiriki kuwaambia viongozi wa DARUSO kuwa pesa ingetoka J'mosi siku moja baada ya kugoma yaani Ijumaa lakini pesa haikutoka na kuambia kuwa alikwenda kupumzika Z'bar. Pia inaonekana Mkapa enzi hizo alikuwa anamgwaya huyu jamaa.

Kwa kifupi nimjuwavyo mimi nikiwa mwanafunzi UDSM, huyu jamaa hafai!!! Katiba ya URT inampa JK uwezo wa kumwondoa kirahisi mbele ya safari kama atakuwa kichwa ngumu kama alivyomfanyia swahiba wake EL kupitia Bunge inagawaje kwa VP naona ni rahisi zaidi!
 
Hapa nikuangalia sakata linaisha vip ..sikutegemea Billal kuwa mgombea mwenza wa Kikwete
 
Jamanihein zote hizo ni mbinu za CCM kupata kura Unguja,maana Shein Pemba ni kapa kabisa,na ZNZ walishasema kabisa wanataka Billal,kakosa Urais Znz,sasa imebidi apewe VC hiliz kutafuta kura zr ba Unguja vinginevyo SEIF angepeta kirahisi sana,lakini swali ni Dr Bilal na Jk wataiva chungu kimoja,kwani mitazamo yao ni tofauti kabisa kulia na kushoto- basi tusubiri na tuone.Hata Galib akutegemea kuwa atakuwa MGOMBEA MWENZA ndio maana jana alistuka sana,baada ya jina lake kutajwa.Siasa za Tz NI FITINA TUPU afadhali huu kuliko tuliekuwa tunamsikia Zakia M,maana yeye ni si mtu wa kupigwa changa la macho kwenye EPA.

is VC congruent to VP, hata hivyo huenda baada ya oktoba 31 tukapata maboya mawili badala ya moja
 
chrtsrv.dll


Maisha yatakua magumu zaidi na shilingi kuanguka zaidi baada ya uchaguzi...........
 
Mwana JF,
Huyu Dr. M.G.Billal ni msomi na sio Docta wa mifugo kama hawa waliomtanguliwa au JK aliyerushiwa Taulo, CV yake kitaaluma imekaa sawa. Ila hee ni mbabe wa kupindukia, jeuri ya shule, mbaguzi, uzanzibari, udini, n.k.

Ngoja niwape kidogo. Akiwa katibu mkuu wizara ya Sayansi na Elimu ya juu na Ben. Mkapa akiwa waziri mambo yalikuwa hayaendi kwani anachosema waziri akija katibu anapinga mbele yake na maneno ya kejeli. Nikiwa mmojawapo wa deligate iliyokuwa inashughulikia madai mbali mbali ya wanafunzi wa UDSM tulikuwa tunaenda wizarani kukutana na hawa watu, nakumbuka 1994 May, wanafunzi wa OFF COMPUS walikuwa wanadai malimbikizo yao ya OFF COMPUS allowance na wliahidiwa na Waziri kuwa malipo yatafanyika mchana kitu ambacho hakikuwa na kesho yake wanafunzi wakarudi kufuatilia ambapo Waziri alisema hebu nikamuulize Katibu kwani haikuwa effected. Jibu mbele yangu "Nani kasema kuna pesa ya kulipa? Mtendaji ni mimi achana na huyu mwanasiasa, nasema pesa hakuna, serikali haina pesa. Nenda kawaeleze wenzeni" Waziri (Ben) alikasirika na kusema "Anayetaka kusoma asome asiyetaka aache siwezi kutukanwa as if pesa napeleka kwenye familia yangu na muelewe serikali ya sasa hivii ni ya WAZANZIBAR, nawaruhusu fanya mnachoona kinafaa" Mwisho wa siku hiyo eneo la Wizara lilikuwa halitamaniki kwa virungu vya FFU. Ushahidi muulize RUGEMEREZA NSHALA, (Wakili) na wengine walioishia kulazwa muhimbili kwa kipigo nje ya ofisi ya Billal. Sio hapo tu, Prof. Mahalu (Director working with Billal by then) alifukuzwa ofisini kwa Katibu akiwa anafuatilia majina ya scolarship yaliyobadilishwa kutoa wa Bara na kuweka wazanzibar. TUMEKUFA OIC, UDINI, UBAGUZI, n.k. VIPO MLANGONI.
 
..Huuu ni ujinga ...kabisa ...yaani nafasi muhimu kama makamu wa rais tunaitumia kupoozana....waste!!!waste kabisa!!!!...kwani angempa ubalozi kama mapuri ingekuwaje???
Tunaongelea makamu wa rais mtu ambaye anaweza kuwa rais likitokea lolote kikatiba kwa jk...tunaweka mtu cheo kwa kupoozana.....bilal hafai...kama zanzibar wanamtaka huko maskani kisonge ...huku bara hatumtaki..!!!
wakati akiwa pale wizara ya science kama katibu mkuu...alihusika sana na corruptions za kutoa scholarships..waliosoma INDIA,UK ,CANADA etc miaka ya 90s kwa udhamini wa serikali wanakumbuka madudu yake huyu !!

JK ALISTAHILI MSAIDIZI MAKINI ...SIO POLITICAL AMBITIOUS CROOK KAMA BILAL!!!




Kwa bara sio sensitive kiasi hicho maana majukumu ya makamu wa raisi kikatiba nadhani hayako wazi sana. Kwa hiyo ni rahisi kumbana asifurukute kwa Mheshimiwa JK. Atabakiki kukata utepe tu. Kwa hiyo ni njia rahisi ya kumbana ili muungano wetu udumu daima
 
Mwana JF,
Huyu Dr. M.G.Billal ni msomi na sio Docta wa mifugo kama hawa waliomtanguliwa au JK aliyerushiwa Taulo, CV yake kitaaluma imekaa sawa. Ila hee ni mbabe wa kupindukia, jeuri ya shule, mbaguzi, uzanzibari, udini, n.k.

Ngoja niwape kidogo. Akiwa katibu mkuu wizara ya Sayansi na Elimu ya juu na Ben. Mkapa akiwa waziri mambo yalikuwa hayaendi kwani anachosema waziri akija katibu anapinga mbele yake na maneno ya kejeli. Nikiwa mmojawapo wa deligate iliyokuwa inashughulikia madai mbali mbali ya wanafunzi wa UDSM tulikuwa tunaenda wizarani kukutana na hawa watu, nakumbuka 1994 May, wanafunzi wa OFF COMPUS walikuwa wanadai malimbikizo yao ya OFF COMPUS allowance na wliahidiwa na Waziri kuwa malipo yatafanyika mchana kitu ambacho hakikuwa na kesho yake wanafunzi wakarudi kufuatilia ambapo Waziri alisema hebu nikamuulize Katibu kwani haikuwa effected. Jibu mbele yangu "Nani kasema kuna pesa ya kulipa? Mtendaji ni mimi achana na huyu mwanasiasa, nasema pesa hakuna, serikali haina pesa. Nenda kawaeleze wenzeni" Waziri (Ben) alikasirika na kusema "Anayetaka kusoma asome asiyetaka aache siwezi kutukanwa as if pesa napeleka kwenye familia yangu na muelewe serikali ya sasa hivii ni ya WAZANZIBAR, nawaruhusu fanya mnachoona kinafaa" Mwisho wa siku hiyo eneo la Wizara lilikuwa halitamaniki kwa virungu vya FFU. Ushahidi muulize RUGEMEREZA NSHALA, (Wakili) na wengine walioishia kulazwa muhimbili kwa kipigo nje ya ofisi ya Billal. Sio hapo tu, Prof. Mahalu (Director working with Billal by then) alifukuzwa ofisini kwa Katibu akiwa anafuatilia majina ya scolarship yaliyobadilishwa kutoa wa Bara na kuweka wazanzibar. TUMEKUFA OIC, UDINI, UBAGUZI, n.k. VIPO MLANGONI.


..siongei kwa ubaya lakini kwa unguja mtu mwenye degree hujiona kasoma sana..sembuse mtu ambaye ni kweli anazo akili za darasani kama Bilal sintashangaa kudhubutu kumtukana waziri mbele ya wanafunzi......mkapa akiwa pale elimu ya juu kuna wakati ilifika akawa soo frustrated ......kwa kuwa katibu mkuu alikuwa akpokea orders direct toka state house na ku bypass waziri............ni wakati huu mkapa aluvunjika moyo akawa anakunywa sana pombe...ulizeni waliokuwa pale....akiingia ofisini anajifungia mlango anakaa..maana hakuna alichokuwa akishauri yeye kinafanyika....bilal is arrogant..
kwa zanzibar watu ambao hata wasome vipi hawana majivuno ...ni wapemba ...wengi ni wasomi ...na wana akili darasani..lakini huwa low profile...

kuhusu suala la scholarships ni kweli kama nilivosema awali kulikuwa na abuse na divertion ya funds za kusomesha oversea students...na kuhusu upendeleo kwenye scholarships ni kweli..zamani mtu akimaliza form six kulikuwa na kawaida pale wizarani wanabandika scholarships kulikuwa na za serikali...kwenda india..,[mostly],pia kulikuwa na za nchi rafiki...hizi zilikuwa deal sana..india,china,russia,turkey,kuwait,algeria,uk,canada,australia......sasa walikuwa wanaweka mtihani tunafanya ..then...wanachagua.....sasa..baada ya hapo Bilal na timu yake ndio walikuwa wanakula rushwa sana....wale wasio na sifa kwa scholarship za india....walitoa laki 3..mtu anakatwa jina anawekwa,.....kuna scholarship nyingine hadi milioni..those days ilikuwa pesa nyingi sana .....sasa hilo la upendeleo....kuna ambao majina yao yalikuwa yanatoka moja kwa moja white house kwa MAMA ...kama memo kwa bilal....kuna binti mmoja jina lake liliingizwa safari ya india a day before...mtu unakuja na begi unarudishwa................kuna baadhi ya scholarship kama za turkey na algeria hizo ndio kabisaa zilikuwa za watu wake.....
kiukweli memory tulizo nazo huku huyu jamaa kwa utendaji wake ....ni mtu wa ma deal sana...unless kama siku hizi amezeeka ameacha..na hatujuwi labda alipokuwa kwenye utumishi zanzibar alibadilika.......tutammiss sana SHEIN!!!

ANAYETAKA kumjuwa bilal afanye tu independent research zaidi pale wizarani elimu ya juu early 90s......kwa watu waliopata kukutana naye kikazi pale au kwenda pale kutaka msaada kama siye .....hatuna sababu ya kumuonea!!!
 
Kwa bara sio sensitive kiasi hicho maana majukumu ya makamu wa raisi kikatiba nadhani hayako wazi sana. Kwa hiyo ni rahisi kumbana asifurukute kwa Mheshimiwa JK. Atabakiki kukata utepe tu. Kwa hiyo ni njia rahisi ya kumbana ili muungano wetu udumu daima

lakiini kwa namna alivyoonyesha tamaa ya madaraka anaweza hata akawa hatari kwa rais wetu....kwani anajuwa kuwa ..if anything happens to the president ...he is the interim president ...sasa nafasi adimu ya namna hii kwa nini tupeane kwa kupoozana...its the guy to watch....amekuwa power hungry sana!!!
ni hulka kwa makamu wa rais popote duniani kuwa act low profile...lakini ni nafasi inayohitaji busara kuliko yeyote ........ndio maana lazima kuweka mtu makini..angalieni Joe Baden...he is low profile but brilliant,angalieni namna J.JONATHAN wa nigeria alivyoweza kuivusha nchi kama nigeria wakati mgumu....hata SHEIN was good MKAPA alilazwa swiss for three months ...na aliporudi akawa ndani anafaya soft assignments ..confined to state house ....na shein aliongoza nchi hata mtu asijuwe kuwa mkapa aliukuwa hayupo....angekuwa ambitious angeutumia muda huo kujijenga kiutawala na kisiasa......kama lowassa alivyoshtukiwa kutumia muda mwingi rais aliokuwa akitembelea dunia[world tour] kujijenga zaidi...........for sure shein is best for zanzibar but its like a demotion..to him!!
 
Hivi nani kawaambieni kuwa dr JK na dr. GB hawaivi????? Kwani ni lazima waive???? Hivi tuseme wote walioteuliwa na JK wanaiva??? tuache kuwa na fikra mbichi na tuwe wachambuzi bila kuweka utashi/upenzi [let us call spade a spade] Kwa wale ambao hawaelewi siasa za ZNZ ni kuwa kwa muda mrefu[tangu mapinduzi] haijatokea kiongozi mkuu visiwani hapo akatokea kisiwa cha pemba[Mpemba aliyewahi kushika cheo cha juu kabisa M Seif [waziri kiongozi].Na ndiyo maana pemba ccm haifui dafu kwa mwenye kuelewa kipindi hiki ilibidi mgombea rais atoke pemba na nadhani CCM imejaribu kuichukulia hoja hiyo maanani[ kama watafanikiwa au la ni suala jingine] Hata huyo Dr GB asingepata kura kisiwani PBA[kwani ni mzbar na ASP kindakindaki].
kwenye siasa hakuna marafiki wakudumu na pia hakuna maadui wa kudumu [ndiyo maana wanasiasa wanapenda kufanya watu wanasesere]
Kila itakavyokuwa uchaguzi wa mwaka huu hapatakuwa na loosers [kama masikilizano yatatekelezwa] wote ni winners na imani yangu ni kuwa ikiwa hivyo maendelea zanzibar yatakuwa kwa kasi zaidi ya bara.
MUNGU IBARIKI ZANZIBAR
 
lakiini kwa namna alivyoonyesha tamaa ya madaraka anaweza hata akawa hatari kwa rais wetu....kwani anajuwa kuwa ..if anything happens to the president ...he is the interim president ...sasa nafasi adimu ya namna hii kwa nini tupeane kwa kupoozana...its the guy to watch....amekuwa power hungry sana!!!
ni hulka kwa makamu wa rais popote duniani kuwa act low profile...lakini ni nafasi inayohitaji busara kuliko yeyote ........ndio maana lazima kuweka mtu makini..angalieni Joe Baden...he is low profile but brilliant,angalieni namna J.JONATHAN wa nigeria alivyoweza kuivusha nchi kama nigeria wakati mgumu....hata SHEIN was good MKAPA alilazwa swiss for three months ...na aliporudi akawa ndani anafaya soft assignments ..confined to state house ....na shein aliongoza nchi hata mtu asijuwe kuwa mkapa aliukuwa hayupo....angekuwa ambitious angeutumia muda huo kujijenga kiutawala na kisiasa......kama lowassa alivyoshtukiwa kutumia muda mwingi rais aliokuwa akitembelea dunia[world tour] kujijenga zaidi...........for sure shein is best for zanzibar but its like a demotion..to him!!


Tumuache mazingira yatambadili atapewa wizara mbili tu zinamtosha! Muungano na mazingira. Hatawezakuonyesha makucha na meno.
 
lakiini kwa namna alivyoonyesha tamaa ya madaraka anaweza hata akawa hatari kwa rais wetu....kwani anajuwa kuwa ..if anything happens to the president ...he is the interim president ...sasa nafasi adimu ya namna hii kwa nini tupeane kwa kupoozana...its the guy to watch....amekuwa power hungry sana!!!
ni hulka kwa makamu wa rais popote duniani kuwa act low profile...lakini ni nafasi inayohitaji busara kuliko yeyote ........ndio maana lazima kuweka mtu makini..angalieni Joe Baden...he is low profile but brilliant,angalieni namna J.JONATHAN wa nigeria alivyoweza kuivusha nchi kama nigeria wakati mgumu....hata SHEIN was good MKAPA alilazwa swiss for three months ...na aliporudi akawa ndani anafaya soft assignments ..confined to state house ....na shein aliongoza nchi hata mtu asijuwe kuwa mkapa aliukuwa hayupo....angekuwa ambitious angeutumia muda huo kujijenga kiutawala na kisiasa......kama lowassa alivyoshtukiwa kutumia muda mwingi rais aliokuwa akitembelea dunia[world tour] kujijenga zaidi...........for sure shein is best for zanzibar but its like a demotion..to him!!

Ndugu yangu umesema kitu ambacho ninakiona; huyu Bilal nimekuwa sina imani naye kwa muda mrefu sana tangu alipokuwa Wizara ya Elimu ya juu. Nimeshangaa sana kwa Kikwete kumwona kuwa ndiye anaweza kuongoza nchi in case yeye hayupo. Fortunately, Kikwete naye ni mwislamu; ingikuwa ni hatari zaidi kama Kikwete huyo asingekuwa Mwislamu.
 
Some One (whom I don't know) should come and address the UDINI issue in Tanzania.It's eating us slowly as necrotizing fasciitis..one day Tanzania might be amputated.....Sipati picha 2015 Zenjis wakija na hoja ya alternation ya Urais wa JMT.....to CHRISTIANS gonna be totally unfair(wont it?).

God bless Tanzania and her people.
 
Back
Top Bottom