Kamarada
JF-Expert Member
- Jul 24, 2010
- 253
- 161
:bump: Salaam kwenu waungwana wote!
Nafikiria kununua Ki-gari to JPN in Apr 2011,
Plz naomba kufahamishwa gharama nitakazo paswa kuzilipa hadi linakuwa kwa barabara, bila gharama ya kununua na kusafirisha to Dsm Port! ie. gharama za bandari, VAT, TRA, nk.
If ombi kama hili limewahi kujadiliwa, plz naombo muongozo wa kufika huko.
Nawasilisha!
Nafikiria kununua Ki-gari to JPN in Apr 2011,
Plz naomba kufahamishwa gharama nitakazo paswa kuzilipa hadi linakuwa kwa barabara, bila gharama ya kununua na kusafirisha to Dsm Port! ie. gharama za bandari, VAT, TRA, nk.
If ombi kama hili limewahi kujadiliwa, plz naombo muongozo wa kufika huko.
Nawasilisha!