Gharama za Kuingiza gari TZ

Kamarada

JF-Expert Member
Jul 24, 2010
253
161
:bump: Salaam kwenu waungwana wote!

Nafikiria kununua Ki-gari to JPN in Apr 2011,
Plz naomba kufahamishwa gharama nitakazo paswa kuzilipa hadi linakuwa kwa barabara, bila gharama ya kununua na kusafirisha to Dsm Port! ie. gharama za bandari, VAT, TRA, nk.

If ombi kama hili limewahi kujadiliwa, plz naombo muongozo wa kufika huko.

Nawasilisha!
 
Swali halija kamilika, hako ka gari ni ka mwaka gani? Na kana CC Ukubwa gani?na umekanunua bei gani? Kana inspection ya JAAAI? (Kama hakana uende TBS Ubungo na $800)na umelipia pesa ngapi za kusafirisha yani freight to DSM/TANGA/ZNZ ukituma majibu haya utaweza kupata muelekeo wa watakavyo kukufisadi hapa TRA,TISCN NA TPA Usisahau kuna ku up lift na OTHERS CHARGE
 
:bump: Salaam kwenu waungwana wote!

Nafikiria kununua Ki-gari to JPN in Apr 2011,
Plz naomba kufahamishwa gharama nitakazo paswa kuzilipa hadi linakuwa kwa barabara, bila gharama ya kununua na kusafirisha to Dsm Port! ie. gharama za bandari, VAT, TRA, nk.

If ombi kama hili limewahi kujadiliwa, plz naombo muongozo wa kufika huko.

Nawasilisha!

kwa kawaida ulipa gharama hizi

Vat ni 18%
CC ni 10%
Uchakavu ( gari lililozidi miaka 10) ni 20%
import duty ni 25%
registration ni Tshs 308,000 (sijui kama zimepanda)
za bandarini ni dola 10 kwa siku baada ya wiki 1 gari lilipofika (sijui kama zimeongezeka).

SASA HIYO % NI ACCUMULATIVE YA KILA KODI KUTOKA KWA CIF


e.g, jumla ya gharama zote za ununuzi wa gari kutoka Japan hadi Bandari ya DSM (au yoyote) ni $ 5000

TRA wanaanza


Import duty (20%) = $5000x20/100 = $1000

CC (10%) = $500 +Vat($1000)=$6000, $6000x10/100 = $600

Vat (18%) = $6000+ CC($600) = $6600, $6600x18/100= .....

Nakuendelea, kwa hiyo ukiagiza gari kwa $ 5000 hakikisha una 75% ya kulipia kodi la siyo utoe mlungula na wajanja wa TRA
 
kwa kawaida ulipa gharama hizi

Vat ni 18%
CC ni 10%
Uchakavu ( gari lililozidi miaka 10) ni 20%
import duty ni 25%
registration ni Tshs 308,000 (sijui kama zimepanda)
za bandarini ni dola 10 kwa siku baada ya wiki 1 gari lilipofika (sijui kama zimeongezeka).

SASA HIYO % NI ACCUMULATIVE YA KILA KODI KUTOKA KWA CIF


e.g, jumla ya gharama zote za ununuzi wa gari kutoka Japan hadi Bandari ya DSM (au yoyote) ni $ 5000

TRA wanaanza


Import duty (20%) = $5000x20/100 = $1000

CC (10%) = $500 +Vat($1000)=$6000, $6000x10/100 = $600

Vat (18%) = $6000+ CC($600) = $6600, $6600x18/100= .....

Nakuendelea, kwa hiyo ukiagiza gari kwa $ 5000 hakikisha una 75% ya kulipia kodi la siyo utoe mlungula na wajanja wa TRA


JF ni Saikolopidia bana du :msela:, You've covered my need, nakushukuru sana ndg yangu.
Nakwenda Kujinga sawaw sawa!!
 
Swali halija kamilika, hako ka gari ni ka mwaka gani? Na kana CC Ukubwa gani?na umekanunua bei gani? Kana inspection ya JAAAI? (Kama hakana uende TBS Ubungo na $800)na umelipia pesa ngapi za kusafirisha yani freight to DSM/TANGA/ZNZ ukituma majibu haya utaweza kupata muelekeo wa watakavyo kukufisadi hapa TRA,TISCN NA TPA Usisahau kuna ku up lift na OTHERS CHARGE

Kiongozi thanx kwa kuiona hiyo, nilitaka kupata Gen idea, nashukuru Mkuu "Trustme" kanipa idea niliyo kuwa naitaka :clap2:.
 
:bump: Salaam kwenu waungwana wote!

Nafikiria kununua Ki-gari to JPN in Apr 2011,
Plz naomba kufahamishwa gharama nitakazo paswa kuzilipa hadi linakuwa kwa barabara, bila gharama ya kununua na kusafirisha to Dsm Port! ie. gharama za bandari, VAT, TRA, nk.

If ombi kama hili limewahi kujadiliwa, plz naombo muongozo wa kufika huko.

Nawasilisha!

Unataka kununua gari kwenda Japan ama macho yangu?
 
:bump: Salaam kwenu waungwana wote!

Nafikiria kununua Ki-gari to JPN in Apr 2011,
Plz naomba kufahamishwa gharama nitakazo paswa kuzilipa hadi linakuwa kwa barabara, bila gharama ya kununua na kusafirisha to Dsm Port! ie. gharama za bandari, VAT, TRA, nk.

If ombi kama hili limewahi kujadiliwa, plz naombo muongozo wa kufika huko.

Nawasilisha!

Kuna vitu lazima uvi disclose ili tukusaidie kufanya calculations ambayo itakupa rough figure tu usitegemee ndio itakuwa gharama halisi as TRA wakiamua wana ku up lifts mathalan umenunua gari dola 1000 wanaweza kukataa na kuipa value yao hiyo value ndio base ya circulations zenyewe 5% import duty kuna VAT.

Upande wa bandari lazima ujue vipimo vya gari unayoagiza na value as well wanacharge wharfage 6% ya custom value "hii baada ya ma uplifts yao na kupata release" kisha kuna handling ambayo ni 4 USD per CBM gari kama noah ina CBM 15 kwahiyo Handling charges ya Noah ni dola 60 bila VAT.
 
Kuna vitu lazima uvi disclose ili tukusaidie kufanya calculations ambayo itakupa rough figure tu usitegemee ndio itakuwa gharama halisi as TRA wakiamua wana ku up lifts mathalan umenunua gari dola 1000 wanaweza kukataa na kuipa value yao hiyo value ndio base ya circulations zenyewe 5% import duty kuna VAT.

Upande wa bandari lazima ujue vipimo vya gari unayoagiza na value as well wanacharge wharfage 6% ya custom value "hii baada ya ma uplifts yao na kupata release" kisha kuna handling ambayo ni 4 USD per CBM gari kama noah ina CBM 15 kwahiyo Handling charges ya Noah ni dola 60 bila VAT.


TRA wanawezaje kubadilisha gharama halizi nilizonunulia gari wakati kuna vithibitisho vya stakabadhi nilivyonunulia na kampuni nilikonunua?
 
Trustme,
Umesema uchakavu ni 20% kwa magari ambayo ni 10 years old and beyond. Je, hiyo 20% inatokana na bei ambayo mtu alinunua gari? Mathalan nina gari langu 15 years old, na nimekaa nalo kwa zaidi ya miaka kumi na nimeamua kurudi nalo Bongo. Nitahitajika kulipa 20 % ya value ipi?
 
duh hizi gharama wanaumiza sana aisee.Kuna gari nilitaka kuagiza kutoka Japan kwa US$3000,kwa mahesabu haya wallah mpaka linatembea inaeza fika US$ 10,000..duh kweli bongo ni noma
Hivi wakuu kwa gharama hizi,kipi bora kati ya kuagiza mwenyewe au kuingia show rooms za bongo?
 
duh hizi gharama wanaumiza sana aisee.Kuna gari nilitaka kuagiza kutoka Japan kwa US$3000,kwa mahesabu haya wallah mpaka linatembea inaeza fika US$ 10,000..duh kweli bongo ni noma
Hivi wakuu kwa gharama hizi,kipi bora kati ya kuagiza mwenyewe au kuingia show rooms za bongo?
Ukiipata gari kwenye show rooms za b ongo kwa dola elfu saba nunua haraka.
 
kwa kawaida ulipa gharama hizi

Vat ni 18%
CC ni 10%
Uchakavu ( gari lililozidi miaka 10) ni 20%
import duty ni 25%
registration ni Tshs 308,000 (sijui kama zimepanda)
za bandarini ni dola 10 kwa siku baada ya wiki 1 gari lilipofika (sijui kama zimeongezeka).

SASA HIYO % NI ACCUMULATIVE YA KILA KODI KUTOKA KWA CIF


e.g, jumla ya gharama zote za ununuzi wa gari kutoka Japan hadi Bandari ya DSM (au yoyote) ni $ 5000

TRA wanaanza


Import duty (20%) = $5000x20/100 = $1000

CC (10%) = $500 +Vat($1000)=$6000, $6000x10/100 = $600

Vat (18%) = $6000+ CC($600) = $6600, $6600x18/100= .....

Nakuendelea, kwa hiyo ukiagiza gari kwa $ 5000 hakikisha una 75% ya kulipia kodi la siyo utoe mlungula na wajanja wa TRA

Asante ndugu umetusaidia wengi. Huu ndio uzuri wa great thinker
 
Ukiingiza gari la zaidi ya miaka kumi utalipa kodi sawa na asilimia 93 ya CIF ya gari lako....wakati ukinunua gari lenye umri chini ya miaka kumi kama lina cc 1500 basi utalipa kodi asilimia 43 ya CIF na kama lina cc zaidi ya 1500 utalipa asilimia 65 ya CIF. Hii ni siplified version ya Trustme. Kwa zaidi ingia kwenye website ya TRA angalia kwenye Import duty...wametoa na jedwali kabisa
 
Unataka kununua gari kwenda Japan ama macho yangu?

Naomba nikusaidie kidogo,maneno mengi ya kiingereza hayana tafsiri ya moja kwa moja kuja kiswahili kama unavyodhani, mara nyingi yanategemea na namna na mazingira yanayotumika. Kwa mfano kwenye mpira, timu inapopata kona, lets say Totenham wamepata kona kuelekea goli la AC Milan, kwa kiingereza inatamkwa corner to Totenham (si corner from Totenham) au ikiwa wamepata faulo kuelekea goli la AC Milan, commentator atakuambia, this is foul to Totenham. Kwahiyo epuka kufanya tafsiri ya haraka na moja kwa moja.
 
Naomba nikusaidie kidogo,maneno mengi ya kiingereza hayana tafsiri ya moja kwa moja kuja kiswahili kama unavyodhani, mara nyingi yanategemea na namna na mazingira yanayotumika. Kwa mfano kwenye mpira, timu inapopata kona, lets say Totenham wamepata kona kuelekea goli la AC Milan, kwa kiingereza inatamkwa corner to Totenham (si corner from Totenham) au ikiwa wamepata faulo kuelekea goli la AC Milan, commentator atakuambia, this is foul to Totenham. Kwahiyo epuka kufanya tafsiri ya haraka na moja kwa moja.

Mbona mifano yako sasa haiendani na hoja iliyokuwapo? Elewa hii ni bidhaa na mfano wako umelalia kwenye mpira! Hata kama utakuwa una Kiingereza cha Oxford hatukubaliani na wewe kwamba hiyo sentensi ilikuwa sahihi!! Maana kwenye bidahaa lazima tusema you are "importing from" and you are "exporting to"
 
Wadau huu mchanganyuo si wa kawaida asante ila je ni kama mwagizaji ni mwanafunzi ambaye ndo kwanza tu ametoka kusoma kaja na hiyo gari je naye anapaswa kulipa hayo yote au ni kipi atapaswa kulipa kutoka kwa hivyo maana nasikia serikali iliahidi ushuru bure kwa wanafunzi waliokuwa nje
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom