Gharama ya Wivu wa Mapenzi hii hapa

Kama ana kipato kizuri cha kutosha, siachi kazi mpaka aniingizie Mil. 100 kwenye account yangu, ili nifanye ishu nyingine, kama business, but kama hataki, atajiju!

Watu kama nyie ndio maana hamuolewi mnabaki mnatusumbua mjini hapa coz u sound to be a gold digger with no sens of love in you..we mill 100 ni nin b4 love?
 
Jamani huyo mdada aache ujinga kabisa, afunge mkanda afanye kazi, mumewe kama hataki aachane naye aone kama life haijawa mzuri kwake. hayo mambo yalishapitwa na wakati ndio maana wenzake tunafanya kazi, kutongozwa mwanamke ni jambo la kawaida, upende mwenyewe useme Yes asipotongozwa utaenda kwenye maombi kujihisi una kasoro.

hahaa Kumbe inahitaji kumfahamu mtu sana kabla ya kuoa...me nioe mtu kama wew c ntafungwa kwa kosa la jinai breee mtoto wa mama yangu
 
Wala usimshangae hio ni hali ya kawaida tu kwa wapendanao kwa dhati.kama ya mbele huyajui mbona unamtangliza mume kufa? je akianza mwanamke? kama hatuyajui ya mbeleni ni bora kunyamaza.
kumwachisha mtu kazi unaita ni mapenzi ya dhati? angekuwa na mapenzi ya dhati asingethubutu kumwachisha kazi, maana angewazia future ya huyo mke. huo ni wivu tu usio na mpango wowote, na kutaka kumkandamiza mwenzake bila sababu. anajua kabisa akishakuwa mama wa nyumbani hana say maana si anategemea kila kitu kwake? hapo sasa hayo mapenzi ya kweli huwa yanaisha na yanabaki manyanyaso.
akitangulia mwanamke kufa, poa tu, si atakuwa kafa? hahitaji tena hela za matumizi, unless uniambie kuwa mtu akifa anaenda kuendelea na career yake huko aendako.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
@Fixed Point...halafu akishaamua ukae nyumbani anaanza kukunyanyasa pale ambapo unamwambia unahitaji pesa za matumizi yako mbali mbali zikiwemo za vipodozi...hakawii kuangalia wake wa wenzie na kuwasifia mke wa fulani anapendeza sana wakati wa kwake hata sento moja ya kujipendezesha hampi na huku alimshinikiza aache kazi ili apunguze uwezekano wa kutongozwa na njembas nyingine

nakuambia! utaona rangi zote ambazo nyingine hata hukujua kama zina-exist. chezea u-goli kipa wa kujitakia
 
  • Thanks
Reactions: BAK
nakuambia! utaona rangi zote ambazo nyingine hata hukujua kama zina-exist. chezea u-goli kipa wa kujitakia

Binti kahenyeka miaka chungu nzima kutafuta elimu yake na kutumia mapesa chungu nzima halafu inatokea njemba kwa sababu ya wivu wa kufa mtu alionao anataka akae nyumbani tu kama golikipa!!! Kazi kweli kweli!!!! Halafu anadai ana mapenzi ya kweli!!!
 

Binti kahenyeka miaka chungu nzima kutafuta elimu yake na kutumia mapesa chungu nzima halafu inatokea njemba kwa sababu ya wivu wa kufa mtu alionao anataka akae nyumbani tu kama golikipa!!! Kazi kweli kweli!!!! Halafu anadai ana mapenzi ya kweli!!!
si ndo hapo! huo sio wivu, ni kutaka tu kumkandamiza dada wa watu. anajuaje akishaacha kazi na kukaa nyumbani ndo hatachukuliwa? tena ndo atakuwa na muda mwingi free, afadhali hata kazini muda mwingi anakuwa busy na kazi. kama huyo binti ni tabia yake kuchukuliwa, basi jamaa ahesabu maumivu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
labda huyo kaka ni exceptional perfomer 6x6 kiasi cha kumchanganya huyo dada mpaka kuamua kuacha kazi. siwezi kufikiria sababu nyingine.
 
ama kweli hii ni so, kazi ilivyongumu ya kutafuta yeye anaacha kizembe hivo, mie mwanzoni nilipoanza kazi nilimaliza kama mwaka mmoja nikaambiwa niache kazi, na mie nikajikakamua kuwa kama nikuacha kazi bora tuachane, akanyamaza kimya, mpaka leo naendelea na kazi yangu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hata wewe acha hizo.

We ulitaka nicomment wewe unavyofikiri?
Na wewe ungeipita comment yangu kama vile hujaiona, au wee unataka kukipangia kichwa changu mambo ya kuandika?

Anza wewe kuacha hizo na mie ntafuata.

Kun.ya an.ye kuku akin.ya bata kaharisha, inahu?
Mbona unanshauri nipite coment yako kama vile sijaiona?? mie nadhani hapa tunaandika ili watu wasome! vinginevyo specify watu wa kuchangia yale uyaandikayo! Kubali tu kuwa ulikosea kumwita huyo mwanamke eti kiazi!
Nijuavyo mie hili ni jukwaa la great thinkers!
Kwa mtazamo wangu huenda hata humu humu kuna wengine washakumbwa na hali kama ya huyo mama! Ni vizuri tutoe ushauri elevu na wa kujenga jamii!
 
kumwachisha mtu kazi unaita ni mapenzi ya dhati? angekuwa na mapenzi ya dhati asingethubutu kumwachisha kazi, maana angewazia future ya huyo mke. huo ni wivu tu usio na mpango wowote, na kutaka kumkandamiza mwenzake bila sababu. anajua kabisa akishakuwa mama wa nyumbani hana say maana si anategemea kila kitu kwake? hapo sasa hayo mapenzi ya kweli huwa yanaisha na yanabaki manyanyaso.
akitangulia mwanamke kufa, poa tu, si atakuwa kafa? hahitaji tena hela za matumizi, unless uniambie kuwa mtu akifa anaenda kuendelea na career yake huko aendako.
Kwa hio mtazamo wako mapenz ya dhat ni yapi?? je huoni kwamba huyo mwanamke ana mapenzi ya kweli?? Jua kua unapoamua kumpenda mtu kwa dhati lazima uonyeshe kwa matendo na si maneno tu!!! huyo mama ni mfano wa kuigwa!! kwa taarifa yako suala la upendo wa dhati linagharama kubwa sana! waweza kuwa kitu flani mwenzio hapendi ila ww unakipenda,kama unaupendo wa kweli itabidi ujitolee kukiacha ili usimkwaze mwenzio! na hilo ndo tendo kuu linalodhihirisha upendo kama alivyofanya huyo mama!!! Nadhani umeelewa!!
 
ama kweli hii ni so, kazi ilivyongumu ya kutafuta yeye anaacha kizembe hivo, mie mwanzoni nilipoanza kazi nilimaliza kama mwaka mmoja nikaambiwa niache kazi, na mie nikajikakamua kuwa kama nikuacha kazi bora tuachane, akanyamaza kimya, mpaka leo naendelea na kazi yangu.

Wakati mwingine inabidi kuwa mbishi ati!!! usikubali kuburuzwaburuzwa. Utasikia njemba mie nataka kuoa msomi ambaye at least ana diploma akishampata na kumuweka ndani na kama bahati mbaya ana wivu wa kufa mtu analeta za kuleta, "Sasa kwa kuwa mimi nina kipato kikubwa ungeacha kazi tu na kukaa nyumbani." Kama ana binti yake ukimwambia huyu binti yako naye hakuna sababu ya kumsomesha maana akishaolewa atakuwa mama wa nyumbani. Utaona jinsi anavyokuwa mbogo na kuonyesha kuujua umuhimu wa elimu katika dunia ya leo.

 
Naona unalazimisha mrumi aongee kispanish
2012, dunia yako, chaguo lako
Chagua kukutana na maoni tofauti au chagua ku-edit comment za wachangiaji.

Unachotakiwa ujue, hakuna universal marking scheme katika sosho life, afu ni 'mchanga' mno.

Mbona unanshauri nipite coment yako kama vile sijaiona?? mie nadhani hapa tunaandika ili watu wasome! vinginevyo specify watu wa kuchangia yale uyaandikayo! Kubali tu kuwa ulikosea kumwita huyo mwanamke eti kiazi!
Nijuavyo mie hili ni jukwaa la great thinkers!
Kwa mtazamo wangu huenda hata humu humu kuna wengine washakumbwa na hali kama ya huyo mama! Ni vizuri tutoe ushauri elevu na wa kujenga jamii!
 
Mke wangu alinilazimisha kumwachisha kazi mhasibu wangu wa kike kwa kuwa "eti' hana imani nae.
 
Naona unalazimisha mrumi aongee kispanish
2012, dunia yako, chaguo lako
Chagua kukutana na maoni tofauti au chagua ku-edit comment za wachangiaji.

Unachotakiwa ujue, hakuna universal marking scheme katika sosho life, afu ni 'mchanga' mno.
2012,dunia yako chaguo ni lako vilevile ila jua kuwa hauwez ishi angani! umezungukwa na jamii ambayo kwa kiasi flani yaweza kukutegemea ktk kuiendeleza!
jukwaa kama hili lipo kusaidia jamii na si kupotosha.we mkomavu!
 
Back
Top Bottom