jokate
Member
- May 9, 2012
- 56
- 7
Sasa kama tunajua wanaume mnatimiza kila kitu,basi asingesoma ili aolewe tu.Think twice.Kwa hili mwanaharakati mkubwa ni mwanamke mwenyewe! Kwani iwapo anatimiziwa kila kitu ana haja kweli ya kufanya kazi ya kuajiriwa?