Mess
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 661
- 181
BBC wamemkumbusha ahadi aliyoitoa Kikwete kwa walalahoi ya kuwa atasimamia gharama za umeme zisipande na huduma kuboreshwa, na kumnukuu yeye huyo huyo akitetea kupanda kwa gharama za umeme na huku huduma ikiwa mbovu kupita alivyoikuta wakati anaingia madarakani.
My take: Hatuna rais
My take: Hatuna rais