Hayo mabomu ni bora yawauwe polisi (walinzi wa CCM)
Wao wanasema kafa mmoja mpaka sasa!Watu wamekufa wengi mkuu. OLE WAKE KIKWETE AKAE KIMYA, ATAONA CHA MTEMA KUNI.
Tetesi: Kesho asubuhi bungeni, Mwenyekiti wa Kamati ya Mambo ya Nje Ulinzi na Usalama, Rais Mtarajiwa na Waziri Mkuu Shujaa, Edward Ngoyai Lowassa, atatoa taarifa kuhusiana na tukio la Mbagala na kutaka Waziri wa Ulinzi na JKT, Dk. Hussein Mwinyi ajiuzulu na uchunguzi wa kina ufanyike haraka wakati kamati yake inaunda Kamati Ndogo ya Uchunguzi itakayoongozwa na yeye mwenyewe.
wadau naingia jamvini muda huu nikiwa ni muathirika wa mambomu na nilikuwa huko na ndipo napoishi, nimeendesha gari pasipo kujijua na sijui nyumba yangu itasalimika ama la, imenilazimu niingie jamvini niwape hali halisi na si kuhadithiwa, NI HATARI SAANA WADAU.
Sasa rasmi ninailaani serikali hii, ni adha kubwa na nimeiharibu mpaka gari kwa hamaki ya kuinusuru my family.
It has happened in mozambique with a big loss of life.Actually it happened three times in maputo and the last one in i think 2008 was really bad.This is no longer bearable. This gov has to go. Why did they not learn from mbagala experience? Kuna nchi nyingine uzembe kama huu unatokea?
Michelle mwulize mkwere na serikali yake zembe na pumbavu mpaka watu wasio na hatia wanapoteza maisha. Kama sababu ni umeme RA, Lowassa, Ngeleja, Kikwete hii damu ijuu yenu. Mimi nakasirika kupita maelezo.mmmmhhhhh inatisha!!!! how safe are we in this country??
umemuona hata haeleweki eti ni ajali, na anasema watu warejee majumbani na watulie.Sasa kova anaongea nini wajameni?
Jamani naomba kuulizia hali za watoto wa PUGU secondary ikoje coz hiyo shule huwa inapakana kwa karibu na eneo hili la jeshi, sasa sipati picha wale watoto watakuwa katika hali gani.