Genymotion, emulator bora ya android kwenye PC

Humu ndani suala la emulator ya android kwenye pc sio geni watu wengi wanaulizia jinsi ya kueka whatsapp kwenye pc na vitu kama hivi. kuna kipindi kuna game la android nilitaka kulicheza kwenye pc nikadownload emulator zaidi ya 5 za android bila mafanikio mwisho nikaja kufanikiwa kwa kutumia hii genymotion. emulator hii ni unique na pia inahitaji utaalam kidogo ila kwa muongozo mzuri ukifanikiwa kuieka utaelewa kwa nini hii ni bora.

suala la ram
Moja ya kitu nilichopenda kwenye hii emulator ni kwamba unajikuna unapojifikia, kwanini nasema hivi?

Genymotion inakuruhusu kudownload virtual device zenye resolution tofauti na ram tofauti, kuna virtual device kama galaxy s3, s4, nexus zote, xperia nk inamaana unachagua simu halafu ndio inakuwa emulator.

Mimi pc yangu ina ram 3gb hivyo nikadownload virtual device ya galaxy s3 yenye ram 1gb inamaana emulator yangu itachukua 1gb of ram na kuniachia 2gb kwa ajili ya apps nyengine,

Mfano wewe pc yako ina 1gb of ram hivyo unaweza download simu ya zamani kama htc nexus one yenye 512mb of ram ili kuweza kuirun emulator vizuri.

Nafikiri nitakuwa nimeeleweka nikisema suala la ram unajikuna unapojifikia, wale wenye pc za zamani mnaweza kuidownload.

pp1p3dK.jpg

android version
tofauti na emulator nyengine genymotion unachagua version ya android unayotaka, kuanzia android za zamani kama 2.3 hadi android mpya kama 4.4.4 kitkat

kuflash mafile
emulator hii inakuja na rom ya aosp bila service za google, ila inaruhusu kuflash mafile just download mafile yako ya kuflash then drag&drop kwenye genymotion yatajiflash. niliflash google apps na arm libraly kwenye hii emulator bila shida.

root
usijali hii emulator tayari wameshairoot hivyo apps zako zote zinazohitaji root access zitafanya kazi.

user interface
muonekano wa genymotion ni kama wa simu tu, kila kitu kinafanana hivyo hutapata shida kuizoea.
BykrIFh.jpg

pia upande wa kulia kuna navigation keys kama back, home, menu, battery icon, rotate screen na gps.

jinsi ya kuidownload
hakikisha una mb za kutosha kama unaieka hii emulator minimum mb300 ila zinaweza kuzidi pia.

-nenda website hii katengeneze account kisha download genymotion.
Genymotion
kuna vifurushi vitatu chagua kifurushi cha bure.

yenyewe ina around mb 120 utainstall genymotion pamoja na virtual box na driver zake, process yote hii ni automatic just fata maelekezo itakayokupa.

-open genymotion then utaona kuna option ya start na add, kwa kuwa hatuna virtual device click add halafu utaeka account yako uliotengeneza hapo juu zitakuja simu mbalimbali chagua simu kutokana na uwezo wa pc yako. ukichagua s4 wakati pc ni kimeo ujue haitakubali.

ukishachagua simu itadownload then utaweza kuplay virtual device yako.

kuieka genymotion kama simu
genymotion yenyewe ni aosp kuibadili iwe kama oha inabidi uflash google apps na ueke arm libraly hivi vitu utavipata hapa.
-google apps
https://goo.im/gapps
-arm libraly
Genymotion-ARM-Translation_v1.1.zip (8.96 MB) free instant download - FileTrip

jinsi ya kuflash just drag and drop kwenye emulator itakuuliza kama unataka kuflash then bonyeza yes.

pia hizo google apps zipo nyingi chagua inayoendana na version ya virtual device yako. mfano ulidownload s3 yenye jelly bean 4.1 basi google apps tafuta package ya jelly bean 4.1

i hope utaenjoy hii emulator kama una swali niulize.
@ msaada kwenye kuiweka genymotion kama simu hizo link naona hazina kitu
 
download nox ndio emulator nzuri kwa sasa
Chief hii pc unaionaje na kwa hiyo bei maana nataka pc ya kufanya simple editing kwa ajili ya documentary zangu fupi fupi
HP PAVILLION 24 ALL IN ONE PC
PRICE: 1,599,000/= + VAT
SPECIFICATION:
INTEL:I5-7200U/CI52.50GLV PROCESSOR
8GB/1-DIMM RAM
1TB/7200RPM HARD DRIVE
DVDRW MR GBE
802.11B/G/N+BT
WEBCAM INTEL-HD620/IGP
23.8IPSFHD
W/ SPEAKERS W10H-64
 
Chief hii pc unaionaje na kwa hiyo bei maana nataka pc ya kufanya simple editing kwa ajili ya documentary zangu fupi fupi
HP PAVILLION 24 ALL IN ONE PC
PRICE: 1,599,000/= + VAT
SPECIFICATION:
INTEL:I5-7200U/CI52.50GLV PROCESSOR
8GB/1-DIMM RAM
1TB/7200RPM HARD DRIVE
DVDRW MR GBE
802.11B/G/N+BT
WEBCAM INTEL-HD620/IGP
23.8IPSFHD
W/ SPEAKERS W10H-64
ni ghali mkuu kwa pc isio na battery.

waweza nunua laptop ya hizo specs kwa around 1m,

ila kama umeipenda hivyo ilivyo itafanya editing ndogo ndogo kwa software zinazokubali quicksync kama cyberlink powerdirector na vegas pro.
 
Pc gani nzur ya all in one naweza kupata kwa milion moja chief
asili ya all in one siku zote zinauzwa bei ghali. na kwa maisha yetu huku ya umeme kukatika mara kwa mara kwa mimi naona kama hazimake sense sana. ila unaweza ukanunua kama unazipenda.

hio ya 1m niliokuambia ni laptop. zenye 6th/7th generation kama hio all in one ulioitaja.

unaweza ku assemble all in one yako mwenyewe kwa kutumia monitor na mini pc ambayo unaibandika nyuma ya monitor ila ni ngumu kupata hivi vifaa hapa Tz.

na hata hizo all in one ni ngumu kuzipata Hapa tz, naweza kukuangalizia yenye unafuu online ila kuipata hapa itakuwa ni ngumu.
 
Nitatafuta laptop mkuu asante sana kwa ushauri
kama shida ni kioo kikubwa utakuja kununua monitor baadae. ni rahisi tu ku connect laptop na monitor. tena utapata monitor nzuri yenye kioo kizuri kushinda hizo display za all in one za bei rahisi.
 
kama shida ni kioo kikubwa utakuja kununua monitor baadae. ni rahisi tu ku connect laptop na monitor. tena utapata monitor nzuri yenye kioo kizuri kushinda hizo display za all in one za bei rahisi.
Hivi sina weza kupata NUC nzuri nikai connect na tv ya LG Inches 24 via hdmi nikatumia wireless keyboard na mouse?
 
Hivi sina weza kupata NUC nzuri nikai connect na tv ya LG Inches 24 via hdmi nikatumia wireless keyboard na mouse?
thats exactly nilipomaanisha unaweza uka assemble all in one yako. unanunua mini pc kama nuc kisha unaipachika nyuma ya monitor na keyboard na mouse.

ila usinunue tv ya inch 24 itakuwa na resolution ya HD tu utaharibu macho yako, tafuta monitor zinakuwa na resolution kubwa. kibongo bongo monitor ni rahisi kuliko tv. used kkoo around laki 2 sometime chini ya hapo.

monitor ya inch 24 inakuwa na full HD au Quad HD.
 
kama shida ni kioo kikubwa utakuja kununua monitor baadae. ni rahisi tu ku connect laptop na monitor. tena utapata monitor nzuri yenye kioo kizuri kushinda hizo display za all in one za bei rahisi.
Hebu nieleweshe unaposema inakuwa ni HD nitaharibu macho, kwani monitor nzuri inafaa iwe vipi.
Mimi nilidhani tv ukigeuza monitor wakati wafanya editing ni nzuri zaidi
 
Hebu nieleweshe unaposema inakuwa ni HD nitaharibu macho, kwani monitor nzuri inafaa iwe vipi.
Mimi nilidhani tv ukigeuza monitor wakati wafanya editing ni nzuri zaidi
tv na monitor ni tofauti. tv mara nyingi inakaa mbali unakuta mita 2 mpaka 3 toka yalipo macho yako hivyo hata ikiwa na resolution ndogo haina madhara sana kwenye macho sababu ipo mbali.

ila monitor ni case nyengine yenyewe inakaa karibu na macho, hivyo utahitaji resolution kubwa zaidi.

unaweza fanya tv kama monitor ila iwe vile vile mbali kama unavyotumia siku zote na usiiweke juu ya meza ukakaa nayo karibu.

pia tv ina disadvantage nyengine kama vile
-refresh rate ndogo (sio tv zote)
-input lag
-connector chache etc

sema hizo disadvantage zinawahusu sana wanaocheza games na ma pro. kwa kazi za kawaida unaweza usione utofauti.
 
Mimi natumia laptop Packard Bell ina ram 4. i3 cpu 2.40ghz na simu yangu ni not2 ila sioni play store naomba msaada mkuu
Mkuu hizi laptop bado zinapatikana kweli, Vifaa vyake maana betri yangu imekufa imeshaanza kuniletea notification ya ku replace battery sijui napata wapi aisee...
 
Humu ndani suala la emulator ya android kwenye pc sio geni watu wengi wanaulizia jinsi ya kueka whatsapp kwenye pc na vitu kama hivi. kuna kipindi kuna game la android nilitaka kulicheza kwenye pc nikadownload emulator zaidi ya 5 za android bila mafanikio mwisho nikaja kufanikiwa kwa kutumia hii genymotion. emulator hii ni unique na pia inahitaji utaalam kidogo ila kwa muongozo mzuri ukifanikiwa kuieka utaelewa kwa nini hii ni bora.

suala la ram
Moja ya kitu nilichopenda kwenye hii emulator ni kwamba unajikuna unapojifikia, kwanini nasema hivi?

Genymotion inakuruhusu kudownload virtual device zenye resolution tofauti na ram tofauti, kuna virtual device kama galaxy s3, s4, nexus zote, xperia nk inamaana unachagua simu halafu ndio inakuwa emulator.

Mimi pc yangu ina ram 3gb hivyo nikadownload virtual device ya galaxy s3 yenye ram 1gb inamaana emulator yangu itachukua 1gb of ram na kuniachia 2gb kwa ajili ya apps nyengine,

Mfano wewe pc yako ina 1gb of ram hivyo unaweza download simu ya zamani kama htc nexus one yenye 512mb of ram ili kuweza kuirun emulator vizuri.

Nafikiri nitakuwa nimeeleweka nikisema suala la ram unajikuna unapojifikia, wale wenye pc za zamani mnaweza kuidownload.

pp1p3dK.jpg

android version
tofauti na emulator nyengine genymotion unachagua version ya android unayotaka, kuanzia android za zamani kama 2.3 hadi android mpya kama 4.4.4 kitkat

kuflash mafile
emulator hii inakuja na rom ya aosp bila service za google, ila inaruhusu kuflash mafile just download mafile yako ya kuflash then drag&drop kwenye genymotion yatajiflash. niliflash google apps na arm libraly kwenye hii emulator bila shida.

root
usijali hii emulator tayari wameshairoot hivyo apps zako zote zinazohitaji root access zitafanya kazi.

user interface
muonekano wa genymotion ni kama wa simu tu, kila kitu kinafanana hivyo hutapata shida kuizoea.
BykrIFh.jpg

pia upande wa kulia kuna navigation keys kama back, home, menu, battery icon, rotate screen na gps.

jinsi ya kuidownload
hakikisha una mb za kutosha kama unaieka hii emulator minimum mb300 ila zinaweza kuzidi pia.

-nenda website hii katengeneze account kisha download genymotion.
Genymotion
kuna vifurushi vitatu chagua kifurushi cha bure.

yenyewe ina around mb 120 utainstall genymotion pamoja na virtual box na driver zake, process yote hii ni automatic just fata maelekezo itakayokupa.

-open genymotion then utaona kuna option ya start na add, kwa kuwa hatuna virtual device click add halafu utaeka account yako uliotengeneza hapo juu zitakuja simu mbalimbali chagua simu kutokana na uwezo wa pc yako. ukichagua s4 wakati pc ni kimeo ujue haitakubali.

ukishachagua simu itadownload then utaweza kuplay virtual device yako.

kuieka genymotion kama simu
genymotion yenyewe ni aosp kuibadili iwe kama oha inabidi uflash google apps na ueke arm libraly hivi vitu utavipata hapa.
-google apps
https://goo.im/gapps
-arm libraly
Genymotion-ARM-Translation_v1.1.zip (8.96 MB) free instant download - FileTrip

jinsi ya kuflash just drag and drop kwenye emulator itakuuliza kama unataka kuflash then bonyeza yes.

pia hizo google apps zipo nyingi chagua inayoendana na version ya virtual device yako. mfano ulidownload s3 yenye jelly bean 4.1 basi google apps tafuta package ya jelly bean 4.1

i hope utaenjoy hii emulator kama una swali niulize.
Sitaziacha hizi emulator
NOX,MEmu na KOplayer.
 
Back
Top Bottom