african2010
Member
- Mar 31, 2010
- 98
- 12
Viongozi jifunzeni na mambo yanayotokea nje mnaenda kila siku, Michael Jackson na Whiteny walikufa Obama hakutoa hata salamu za rambirambi, ila Obama alishuhudiwa akiwa ameenda katika msiba wa Private aliyeuawa Afghanistan, jifunzeni mazuri basi mnapoenda huko kila kukicha.