Polisi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,082
- 639
Tatizo lako unafikiria magambo ndo wanamonoply ya hekima, fikiria tena, the point was to highlight how the current administration are focusing on mikey mouse projects on expense of national programs and projects. Kama unataka kazi ye kuedit karibu but for us is "message seeeeeeeeeeeeeeeeeeeent" by Chacha Wangwe
kwenda zako huna lolote. unadhani mimi sijui kupembua mambo. wewe umemlalamikia rais kuwa hajayapa kipaumbele mazishi ya Kiaro. Ulitaka rais aende akaage mwanza, na mazishini aende tena. After all mkuu wa mkoa ndo bosi katika mkoa. Ingekuwa dar, ungeona mawaziri na hata kikwete wangekwenda kuwafariji wafiwa. sasa mwanza afunge safari kwenda kuaga na baadaye aende tarime, ili iweje? Hata hufanani na fikra za chacha wangwe