General Kiaro anaagwa na mkuu wa mkoa; Kanumba, Rais!

wenye macho wanaona na wenyemasikio wanasikia, matendo humtambulisha mtu na sio maneno, tambua kiongozi ulie naye kwa matendo yake
 
Ninavyoongea sasa kuna msururu wa makamanda wastaafu ...wanaunga foleni za matibabu pale lugalo ...hawana uhakika.....hata kidogo.....Rais yupo busy ...na kina kanumba..hatutaki aje kutuona au kuwaletea pesa ...,kwani that is not sustainable..tunataka mfumo imara na wazi wa wastaafu maafisa,makamanda na wapiganaji...
Inajulikana wazi wapiganaji wengi wanakaa makambi ya maporini na hawapati fursa sawa za kujiandaa kustaafu....inashindikana nini...,kuazisha shirika la makazi la majeshi ..kama askari wa rwanda...au india?..mfano tu..

Kitengo kimoja wapo JKT ie suma kinakabidhiwa kazi ya kudumu ya kujenga makazi ...ambayo kila askari anapokaribia muda wa kustaafu atachagua ramani anayoitaka kadiri ya akiba yake [ie 50% akiba yake na 50% serikali] ....,na pia atachagua nyumba iwe wapi .....ie mwanza ,dar,arusha etc.......huko kote kutakuwa na maeneo yaliyopimwa na makazi yatakuwa yanajengwa .......ili pale askari ,afisa au kamanda anapostaafu awe na uhakika wa makazi.....
Hiii itakuwa na faida serikali kuanzisha miji kama hii...kama urahisi wa kuendelea kuwatumia askari na pia kuweza kuwahudumia kwa urahisi.....hata kama sio moja kwa moja...ie kuwa na maduka duty free maeneo husika,hospitali etc
 
Mambo yetu tunayendesha kwa aina ile ile ya maisha ya kazi ya marehemu Kanumba,....kisaniii
 
Ninavyoongea sasa kuna msururu wa makamanda wastaafu ...wanaunga foleni za matibabu pale lugalo ...hawana uhakika.....hata kidogo.....Rais yupo busy ...na kina kanumba..hatutaki aje kutuona au kuwaletea pesa ...,kwani that is not sustainable..tunataka mfumo imara na wazi wa wastaafu maafisa,makamanda na wapiganaji...
Inajulikana wazi wapiganaji wengi wanakaa makambi ya maporini na hawapati fursa sawa za kujiandaa kustaafu....inashindikana nini...,kuazisha shirika la makazi la majeshi ..kama askari wa rwanda...au india?..mfano tu..

Kitengo kimoja wapo JKT ie suma kinakabidhiwa kazi ya kudumu ya kujenga makazi ...ambayo kila askari anapokaribia muda wa kustaafu atachagua ramani anayoitaka kadiri ya akiba yake [ie 50% akiba yake na 50% serikali] ....,na pia atachagua nyumba iwe wapi .....ie mwanza ,dar,arusha etc.......huko kote kutakuwa na maeneo yaliyopimwa na makazi yatakuwa yanajengwa .......ili pale askari ,afisa au kamanda anapostaafu awe na uhakika wa makazi.....
Hiii itakuwa na faida serikali kuanzisha miji kama hii...kama urahisi wa kuendelea kuwatumia askari na pia kuweza kuwahudumia kwa urahisi.....hata kama sio moja kwa moja...ie kuwa na maduka duty free maeneo husika,hospitali etc
Mkuu, nimependa sana uchambuzi wako. Ingawaje hapa umeongelea wastaafu maafisa, makamanda na wapiganaji...pengine baada hizi dots tungewaweka na watumishi wote wa umma kwani ni stahiki yao. Angalia wazee wetu wa Jumuiya ya A. Mashariki iliyokufa. Wengi wameshakufa na wote wanaweza kufa kabla kupewa haki zao.

Waliyofanyiwa wazee wale ndiyo wanayofanyiwa wastaafu wa umma wote, kuna wastaafu wa EAC walipewa shilingi 20 za kiinua mgongo. Hii ni nini kama si matusi, dharau, kejeli...? Kuna wastaafu wetu wa sasa hizo pesa mbuzi wanazopewa lazima wazipigie mbio na kuzitolea rushwa nusu kwa nusu ndio wazipate; kuna kesi za wazee wanaosafiri maelfu ya kilomita kufuata mafao yao DSM wakiwa hawana hakika kama wakifika watayapata, wengine hufa njiani, wengine hujiua. Kweli Watanzania tunastahiki haya?

Kuna watu kweli wanastahiki heshima na matunzo yote kutokana na utumishi wao bora, lakini Watanzania walio wengi watasitikitishwa sana ikiwa heshima na matunzo kama hayo watakuja kupewa akina Said Mwema, wale "makamanda" waliopandishwa vyeo baada ya kuua Mwembechai, Arusha, Njombe, Kigoma, Mbeya, Zanzibar...Tanzania nzima ambao baada ya kuua raia wenzao wanapongezwa.

:focus:Raha na faida ya upinzani ndio kama hii. Kwa nini viongozi wa CDM na wengineo wa upinzani wasitumie ubovu huu wa CCM, wakaenda wao kwenye mazishi ya Gen. Kiaro, sio kwa kuuza sura wala kujitafutia umaarufu bali kuwawakilisha Watanzania?
 
You need to learn to read between the lines ppl sio mnapayuka payuka hovyo!

Mimi sijasema mzee afande hastahili maziko ya kitaifa, lakini nenda kwa 20's , 30's ukawaulize nani wanamkubali. Si ajabu hata hiyo Vita ya Kagera hawajui ni madudu gani, sasa utamlaumu akikwambia role model wake ni Kayumba ambaye anatokea kwenye Luninga kila siku na picha yake ipo kwenye kila kona ya mtaa? Vijana wangapi leo wanapenda kuwa wanajeshi? vijana wangapi wanapenda kuuza sura kwenye TV? do your math...

Ukweli unauma lakini hali ndio hiyo. After all huwezi kulinganisha vitu viwili vyenye "SI UNIT" tofauti ...
 
You need to learn to read between the lines ppl sio mnapayuka payuka hovyo!

Mimi sijasema mzee afande hastahili maziko ya kitaifa, lakini nenda kwa 20's , 30's ukawaulize nani wanamkubali. Si ajabu hata hiyo Vita ya Kagera hawajui ni madudu gani, sasa utamlaumu akikwambia role model wake ni Kayumba ambaye anatokea kwenye Luninga kila siku na picha yake ipo kwenye kila kona ya mtaa? Vijana wangapi leo wanapenda kuwa wanajeshi? vijana wangapi wanapenda kuuza sura kwenye TV? do your math...

Ukweli unauma lakini hali ndio hiyo. After all huwezi kulinganisha vitu viwili vyenye "SI UNIT" tofauti ...

Wow.......I wonder whether you have brains or you have replaced that with mayonnaise
 
Ndio maana wasitafu hujipendekeza kwa watawala ili wapate heshima za kinafiki.Hongera kiaro kwa kuwa mkweli na kukataa unafiki.pumzika mahala pema peponi.
kifo na mazishi ni yalyale hata kama ni waombolezaji wawili kuliko kuwa maelefu waliopatikana kwa propaganda.
 
Vipi Mkuu wa Mkoa hajatoa milioni 10?
Ah au yeye siyo member wa Freemasoni?

R.I.P. Ernest Mwita Kyaro
 
Kyaro had had already his lion's share. He lived his life to the fullest until his departure. Come to Kanumba, he was a rising star deprived his existance all over sudden and his dreams disappeared to the thin air. That triggered majority of Tanzanians to express their INNER condolences to the late Kanumba The Great

Do you mean that his dream was to take that poor young girl to bed and was about to come true before God, The Almighty decided to end the game?

Mimi nafikiri alishafanya hivyo, kwa hiyo hata yeye ndoto yake ilishatimia.

Nitamlilia Kyaro kwa kuwa aliipigania nchi yetu. Huyu nabii wenu sitamlilia kwa kuwa ni mmoja wa wanaosababisha watoto wa shule za kata wafeli kwa kuwa sasa wanaishi kwa illusions. Mwingine ni Shigongo na magazeti yake yaliyojaa matangazo ya dawa za nguvu za kiume. But this one is smart, anajua aina ya wateja wake na ndio maana Ozymix Power, Faru, Kiboko, Mjukuu wa babu na Handsome pump vipo huko.

Condolences!
 
Kwani eti bunge letu lilisimama kutoa heshma kwa jemedari wetu Kiaro!!
Ikiwa bunge halikusimama kwa IGP Mahundi ila kwa Kanumba, hii dni dhahiri serikali yetu ni ya kisanii wasanii ndio wanaumuhimu mkubwa kuliko makamanda wetu.

JK aliairisha safari sababu ya Kanumba akatoa na ubani wa 10m, kwa IGP alikwenda kusaini kitabu cha maombolezo baada ya maziko, sasa ndugu zangu hamjui Tarime ni mabli sana na Dar, halafu hali ya hewa kule na hizi mvua hazifai kwa mweshimiwa hakuna hata lami atakwama kwenye tope bure??

1. Hivi Tarime Clouds TV na Radio zinashika na je wanaweza kuonyesha LIVE.
2. Je Generali anamvuto gani kwa Watanzania alishawai kuhojiwa na Clouds TV au Radio.

Unajua mleta mada siku nyingine tuletee maada zenye mvuto na Clouds TV na Radio au hujui hivi ndio vyombo vya habari vyene mvuto kwa JK na ndio Radio na TV ya Taifa, kwani kina Kibonde na wenzake wameshamsifia General ama General alishawapa zawadi??

Yaani serikali kuwakilishwa na mkuu wa mkoa ni safi sana tena inatosha viongozi wetu wako bado kwenye maombolezo ya kanumba bado hajamaliza hata 7 jamani, tusubiri msiba wa Kanumba uishe halafu tutakwenda kuweka saini makao makuu ya jeshi pale lugalo kwani watatuwekea kitabu cha maombolezo pale, hivyo tusuburi kidogo.
:embarassed2::embarassed2::embarassed2::embarassed2::embarassed2:
 
Anagalia magamba priority zao ni cheap politics Uswahili, Mkuu wa mkoa hastaili kuongozi kuaga mwili wa General Kiaro hata maja. Cheneral kama alivyojulikana hapa kijijini aliifanyia nchi hii mambo makubwa na ya heshima miongoni mwa mataifa. He was honest and strong man, he coordinated logistics to defeat Amini while current Fisadis runing scared like headless chicken. He deserve the best and respect TZ has to offer to our hero.

Tatizo la JF sijui huwa kuna zawadi mtu anapoanzisha thread! Yaani mtu anakurupuka tu utadhani kafumaniwa anaanza kuandika utumbo na kukoseakosea kama hapo kwenye nyeusi. Huyo mkuu wa mkoa aliyeongoza kumuaga Kiaro ni wa mkoa gani? Labda Dar! Hata hivyo mbona ameongoza watanzania katika mazishi yanayofanyika huko tarime? Amekuja musoma na ndege yake akaiacha, akaingia kwenye helikopta akaenda zake tarime. Na sasa hivi ndo anatua na helikopta ili aingie kwenye ndege yake arudi zake. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
 
Meja General Mwita Kiaro kwa wadhifa wake, wasingeweza kuusafirisha mwili wake Uondoke Mwanza bila kuagwa na mkuu wa mkoa pale kulikuwa hakuna shughuli maalum ya mazishi bali unaagwa ili usafirishwe, huko ndiko rais atashiriki.
Tujifunze kukaa kwa ma.kalio na si kukalia vichwa.
 
UKO SAHIHI KABISA. Hata hivyo tatizo letu kubwa kuliko hata ufisadi, ni waandishi wa habari na wamiliki wa vyombo vya habari, hasa TV. Wengi wao hawajui walifanyalo kabisa. Kwa kuwa hawajui wajibu wao, sasa kazi yao ni kukuza mambo ya hovyo hovyo: WANABADILISHA KICHUGUU CHA UONGO KUWA MLIMA KILIMANJARO. Utashangaa hapa Tanzania, MAJADILIANO Bungeni yanakatwa ili kuonyesha KANUMBA, KANUMBA ANAAGWA NA RAIS NA GENERAL YAANI JENERALI WA CHESHI ANAAGWA NA RC. AIBU, SHAME. HALI HII IMECHANGIWA KWA KIASI KIKUBWA NA HALI YA TANZANIA, HAKUNA MAJADILIANO YA MAMBO YA MSINGI, KUNA KELELE. HALI HII AMBAYO NAAMINI ITAIGHARIMU NCHI MBELE YA SAFARI, ILISABABISHWA NA CCM KUKATAA MIDAHALO. WAO WANTAKA WASEME TU, HAKUNA KUHOJIWA. MGOMBEA ASEME NTAJENGA BARA2 KUTOKA MANYONI, TABORA, URAMBO, HADI KIGOMA KM 700 KWA MIAKA MITANO: HATAKI MJADALA MAANA ANAJUA ATAULIZWA MBONA 2005 ULIAHIDI HIVYO2 NA HUKUJENGA HATA KM1, JE PESA UTATOA WAPI? HATA KAMA UNA PESA MOBILISATION YA VIFAA UTAFANYA LINI ILI UJENGE KM700 NDANI YA MIAKA 5?

Eh jamani kweli? Amakweli msanii huzika wasanii wenzie
 
Wakuu kama mmeangalia taarifa ya habari ya tbc 1 wamemuonyesha rais Kikwete akiwa Tarime na amehudhuria mazishi ya General Ernest Mwita Kyaro yaliyofanyika nyumbani kwake huko wilayani Tarime.Waliokuwa wanamponda Kikwete kazi kwnnu.
 
Anagalia magamba priority zao ni cheap politics Uswahili, Mkuu wa mkoa hastaili kuongozi kuaga mwili wa General Kiaro hata maja. Cheneral kama alivyojulikana hapa kijijini aliifanyia nchi hii mambo makubwa na ya heshima miongoni mwa mataifa. He was honest and strong man, he coordinated logistics to defeat Amini while current Fisadis runing scared like headless chicken. He deserve the best and respect TZ has to offer to our hero.
Umeumbuka na taarifa yako ya Uongo.Mbona amehudhuria? Haya ni maji taka kabisa usipost jambo usilokuwa na uhakika nalo mkuu.Ona sasa umeumbuka waziwazi!!
 
Back
Top Bottom