qq.com
JF-Expert Member
- Jan 9, 2012
- 367
- 123
Kwa kweli kama kuna tahariri za uhuru ambazo ziliwahi kunishangaza ni ya toleo la leo jumanne
Mhariri ametoa tahariri ndefu na kuhitimisha kwa madai kuwa mgombea wa CCM hakuwa chaguo la CHAMA na wana arumeru na kwamba ndiyo sababu wameambulia nafasi ya pili.
kama gazeti la chama linaandika haya,tambua wao jikononi mambo yanakwenda ndivyo siyvo
Mhariri ametoa tahariri ndefu na kuhitimisha kwa madai kuwa mgombea wa CCM hakuwa chaguo la CHAMA na wana arumeru na kwamba ndiyo sababu wameambulia nafasi ya pili.
kama gazeti la chama linaandika haya,tambua wao jikononi mambo yanakwenda ndivyo siyvo