acheni upuuzi wenu, nani ambaye hajawahi kuandika taarifa kisha ikaja kuonekana ina mapungufu ya uandishi? kwani ni kompyuta au binadamu anayeyaandika hayo? kuna mhariri, sawa, lakini makosa mengine ni minor sana, kiasi hata mhariri anaweza kupitiwa kuyaona. so bila shaka walitaka kuandima chadema wakaandika ccm, sioni shida kwani zitto si mbunge wa ccm hata kidogo.
sioni mantiki ya kumhusisha zitto na CCM, tusiwe wepesi wa kuweka dhana nyingi zisizo na msingi. zitto kabwe ni mbunge wa chadema , period.
after all zitto yuko active zaidi pengine kuliko hata hao wabunge wengine mnaowaona wako loyal mno kwa chama. tatizo letu watanzania(wapinzani hata ccm) bado tuna uleule mtazamo wa zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama, kwamba, mwenyekiti yu ndio yupo sahihi na yeyote atakayekuwa na mawazo tofauti basi ni adui, sio mwenzetu, mara anatumiwa, sijui kibaraka n.k tujifunze zaidi demokrasia, kwani demokrasia ni kutoa fursa kwa kila mwenye sifa kugombea nafasi yoyote impasayo na pia kutoa mawazo yake yoyote hata kama yanatofautiana na ya kwako.
sioni mantiki ya kumhusisha zitto na CCM, tusiwe wepesi wa kuweka dhana nyingi zisizo na msingi. zitto kabwe ni mbunge wa chadema , period.
after all zitto yuko active zaidi pengine kuliko hata hao wabunge wengine mnaowaona wako loyal mno kwa chama. tatizo letu watanzania(wapinzani hata ccm) bado tuna uleule mtazamo wa zidumu fikra sahihi za mwenyekiti wa chama, kwamba, mwenyekiti yu ndio yupo sahihi na yeyote atakayekuwa na mawazo tofauti basi ni adui, sio mwenzetu, mara anatumiwa, sijui kibaraka n.k tujifunze zaidi demokrasia, kwani demokrasia ni kutoa fursa kwa kila mwenye sifa kugombea nafasi yoyote impasayo na pia kutoa mawazo yake yoyote hata kama yanatofautiana na ya kwako.