Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,653
itabidi = kwa mtu mmoja ... ungeweka itatubidi =kama ni wengiyapo madhara mengi ya kukimbia shule,sasa hapa naanza kuelewa na mapya kama yako! Ivi sentensi uliyosoma ya 'ameama'...je haina alama zozote za kuashiria mtazamo wa mtoa mada mfano !, au ? Au full stop? Unajua itabidi tuwe tunaweka na note: ya kusema ni kiswahili cha nchi gani kenya,kongo, somalia au rwanda au wapi. Ebu some tena uelewe.