Gari kutetemeka ukikanyaga accelarator

SAMAHANINI WADAU NIKO NJE YA MADA KIDOGO, NIWAPE HUDUMA HII, WADAU UKIWA NA TIGO UNAWEZA USIZIME DATA KWA HIZI BANDO ZENYE UNAFUU MNOO‼️
15G=15000/=, 35GB=30000/=, 48GB=40000/= 72GB=60000/= NA 120GB=100000/=
Bando hizi utakua unazipata kwa miaka miwili mfululizo kila tarehe moja unaingiziwa, KUJIUNGA HUMTUMII MTU YEYOTE HELA,

nakupa maelekezo buree unalipia moja kwa moja tigo kama unavyojiunga vifurush vingine. Huduma hii ni uhakika nikikupa maelekezo unaweza hata kupiga 100 ukaulizia na ukalinganisha maelekezo yangu na ya customer care.
( Airtel pia naunga Huduma ya SME itakayokupa GB kibao kwa gharama kidogo)

Soma maelekezo hapo chini au nicheki 0717700921

JINSI YA KUJIUNGA
Piga *150*01#
➡️Kisha chagua no4
➡️Kisha chagua no 2 (kupata majina)
➡️Kisha chagua no 6 (tigo business)
➡️Kisha chagua no 2 (security deposit)
➡️Kisha chagua no1
➡️Kisha kumbukumbu no weka no yako ya tigo
➡️Kisha weka kiasi kulingana na kifurushi unachotaka kama ilivyo kwenye chat( angalia chat kwenye dp yangu )
➡️Kisha weka no ya siri kudhibitisha!

Ukikamilisha nifahamishe !
 
SAMAHANINI WADAU NIKO NJE YA MADA KIDOGO, NIWAPE HUDUMA HII, WADAU UKIWA NA TIGO UNAWEZA USIZIME DATA KWA HIZI BANDO ZENYE UNAFUU MNOO
15G=15000/=, 35GB=30000/=, 48GB=40000/= 72GB=60000/= NA 120GB=100000/=
Bando hizi utakua unazipata kwa miaka miwili mfululizo kila tarehe moja unaingiziwa, KUJIUNGA HUMTUMII MTU YEYOTE HELA,

nakupa maelekezo buree unalipia moja kwa moja tigo kama unavyojiunga vifurush vingine. Huduma hii ni uhakika nikikupa maelekezo unaweza hata kupiga 100 ukaulizia na ukalinganisha maelekezo yangu na ya customer care.
( Airtel pia naunga Huduma ya SME itakayokupa GB kibao kwa gharama kidogo)

Soma maelekezo hapo chini au nicheki 0717700921

JINSI YA KUJIUNGA
Piga *150*01#
Kisha chagua no4
Kisha chagua no 2 (kupata majina)
Kisha chagua no 6 (tigo business)
Kisha chagua no 2 (security deposit)
Kisha chagua no1
Kisha kumbukumbu no weka no yako ya tigo
Kisha weka kiasi kulingana na kifurushi unachotaka kama ilivyo kwenye chat( angalia chat kwenye dp yangu )
Kisha weka no ya siri kudhibitisha!

Ukikamilisha nifahamishe !
Tukishajiunga wewe unapata faida gani??
 
Wadau naomba kujua nini tatizo la gari kutetemeka unapokanyaga accelarator. Gari ni toyota Ractis 2006
Pia kuna muda gari inakosa nguvu ukikanyaga accelarator.
Kuna sababu kadhaa.

(1) Ama MAF ni mbovu au Air intake flap position sensor ni mbovu. Kwa hiyo computer ya injini inaambiwa kuwa hewa inayoingia ndani ya injini ni kiasi fulani wakati flap position sensor inaiambia injini kuwa imefuingulia hewa kiasi gani. Mkanganyiko huo unasababsiha computer sijue namna nzuri ya kupeleka moto kwenye spark plugs.

(2) Inawezekana Spark plugs zako zimechoka kiasi kuwa haziunguzi mafuta vizuri

(3) Inawezekana crank position sensor yako pia ni mbovu kwa hiyo kwenye spidi za juu inashindwa kuiambia computer muda mzuri wa kupeleka moto kwenye spark plugs.

(4) Inawezekana pia kuwa injini haina oil inayotakiwa kwa hiyo piston zinashindwa kuteleza haraka haraka na kubaki zinatetemeka.

(5)............ sababu zinaweza kuwa nyingi.

jambo zuri ipelekwa gari yako ikaguliwa kitaalam kujua chanzo cha tatizo lake. Mtetemeko huo una athari kadhaa. Kwa mfano unaweza kukuvunjia piston rods (Conrods) au unaweza kukuvunji crankshaft au crankcase inaweza kupata cracks. Yote hayo yatakuwa ni majanga makubwa sana kwani yatakulazimu kufanya engine overhaul ambayo itapunguza ufanisi wa injini yako.
 
Kwanini usiende kwa wataalam wakajua exact tatizo Ndugu? Huku majibu yoyote utakayopewa ni may be.
 
Hili tatizo hata mm ninalo gari ni ya manual, hutokea zaidi katika RPM kubwa. Bado natafuta ufumbuzi. Nimesha fanya mambo kadhaa yaliyo taja bila mafanikio. Na ubaya ni kwamba mafundi wengiii hawajui huo ugonjwa.
 
Back
Top Bottom