Full tutorial: Tengeneza Paypal na link na kadi yako ya benki

Paypal ni safe, secure, and reliable. Lakini kwenye password yako usitumie pass word unazozitumia say, JF, facebook, twitter, e-mail, etc. Kwa sababu wamiliki wa Jf kwa mfano wanaweza kuingia kwenye paypal yako na kufanya transactions.
 
Nashukuru sana nimesha register PayPal bahati nzuri Card yangu ya CRDB ni MasterCard na niliisha register kwa huduma za internet Banking,nimeshaanza na kununua Software online.

Mkuu Mkolon hebu funguka kidogo, mie natumia visa kadi na nimejiunga na huduma ya internet banking ya crdb, kwa maana hiyo naweza kujiregister paypal na kuanza kufanya manunuzi?

Mkuu chief-mkwawa, paypal watakuwa wananicharge monthly/annually kwa kuniwezesha kununua vitu online, au hadi hapo nitakapokuwa nafanya manunuzi tu? Je charges zinafanana worldwide?
 
Mkuu chief-mkwawa, mie mbona nilikuwa nafanya manunuzi ya domain, wakaniambia ingiza credit card number, halafu kwenye maelezo yao wakasema credit kadi namba inaweza kuwa ni ya credit card, visa card, master card n.k., lakini kila nikiweka card number ya crdb visa card wananiambia invalid! Inakuwaje?
 
ningependa kufahamu je,ukishanunua kitu online,kwa mfano,laptop au headphones huku bongo,UTAVIPATAJE,posta,au,unaletewa ulipo,inakuwaje?

Hapo ndo kazi kwelikweli! kazi yenyewe siyo nyingine bali ni GHARAMA ZA SHIPPING! Huwa ziko juu sana!!

Kuna option kama tatu hivi:

1. Kwa wenye hela wanaweza kununua bila tatizo kwa sababu wao gharama za shipping siyo ishu! Wao wanachofanya ni kuangalia ile item wanayotaka kwamba ni seller yupi anaship to Tanzania, the anabuy online

2. Unaweza kumtafuta mtu aliyeko huko (sometimes unaweza ukawa na jamaa yako kule) unakonunua mfano US au UK then WEWE UNASEARCH MWENYEWE ONLINE KILE KITU UNATAKA HALAFU UNAMTUMIA TU LINK, unamwomba anunue halafu akutumie kwa njia ya POSTA. Njia hii gharama hupungua sana. Uwe tayari kumlipa chochote yule anayekusaidia kununua kule nje kwani ataingia gharama za kwenda Posta na sometimes kama amenunua vifaa vingi atalazimika kuvipaki upya ili mzigo usonekane mkubwa sana

3. Njia ya tatu ni kununua software ambazo hizo hazihitaji shipping!
 
Ukitaka kufungua paypal inabidi ufuate njia hizi

1. visit website ya paypal
Nenda http://paypal.com ukifika utaregister acount na kila kitu i hope haitakushinda. Hakikisha unatumia email ya ukweli na kama unafanya real business ni bora ikawa email ya siri unayoijua wewe tu ili kuepuka wizi.

2. Nenda benki yako husika
Mfano mimi nilitumia crdb nilienda bank nkaomba waifungue card yangu ya master card ili itumie internet (visa pia inakubali) kuna fomu watakupa ujaze itataka card namba (sio acount) kujua kadi namba utaona chini huko. Ukimaliza kujaza wape fomu yao na waulize itakua tayari baada ya muda gani?. Mara nyingi baada ya masaa 24 inakua tayari.

3. rudi tena website ya paypal
Hapa ushakua member so wewe utalogin tu ukilogin utaona message ya kuverify card yako click hapo na ingiza details za card yako ambazo zitakua

-card no (sio account no)
VisaDebitImage_Features.jpg


Herufi B ni card no
Herufi D ni jina na expiry date
-Utaeka na expire date kama inavoonekana
-utaeka digit 3 za nyuma kama inavoonekana kwenye picha chini.
security_code_visa.png


Ukimaliza watakukata dola 1.94 na watataka uiverfy card kwa benk statement.

rudi benki baada ya siku 3
Mambo ya online yanachelewa baada ya sku tatu statement yako itakua tayari sorry sipo njiani ila nkipata muda ntawatumia picha namna ya kuisoma hio code ila hapa ntawaonyesha theorotically
Ipo namna hii

++++++++pp*xxxxCODE

Huo ndo mfano wake code ya kuverify inakaa kati ya neno pp* na neno CODE yani hizo xxxx zinakua 4

5. Rudi paypal
Hapa utaclick tena verify then utaingiza hizo 4 code then ur done paypal ipo integrated na card yako.


how it works?
Bahati nzuri nimenunua domain na hii njia. Na fata njia hizi na wewe kununua safe.

-kwanza ingia website ya kununua hicho kitu unachotaka then chagua malipo kwa paypal

-utaletwa page ya malipo ya paypal ingiza details zako za paypal (username na pass). Hakikisha adress juu ni paypal na ipo katika secure conection

- ukisha login utaona card yako pale select it kufanya hayo manunuzi na paypal wao watakata hela bila wale jamaa unaonunua kwao kujua details za acount yako

- utamaliza manunuzi na kusubiria siku 3 tena ili bank yako ihamishe hizo fedha.

Hii ndo njia salama ya kununua vitu online kama una tatizo usisite kupost chini.
View attachment 59916

Siyo siri, miongoni mwa watu wanaofanya JF IWE NA MANUFAA NI HUYU MKUU...Chief Mkwawa!!!
 
Mkuu chief-mkwawa, mie mbona nilikuwa nafanya manunuzi ya domain, wakaniambia ingiza credit card number, halafu kwenye maelezo yao wakasema credit kadi namba inaweza kuwa ni ya credit card, visa card, master card n.k., lakini kila nikiweka card number ya crdb visa card wananiambia invalid! Inakuwaje?

hiyo card yako ni lazima iwe imewezeshwa kwanza na crdb kwa kujaza form maalum na kukubali mashart ya huduma hyo.
 
Ni kweli, lakini kuna wengi tu wanasema wana-ship worldwide wakati kwenye baadhi ya nchi hawafanyi!! Wale wanao-locate US ni kwavile ni free shipping there4, kama una-organise nao at ur expense some can ship the item provided uwezekano huo upo-----those people are doin business, so we kama ume-bid mzigo wa thousands of dollars na kuna possibility ya kufanya shipment; they can do it!

Kama ni Ebay kuna mahali pa kumuuliza seller swali na huwa wanakujibu. So ukiona item na kuna mambo hujaelewa just ask the seller!!
 
Ni kweli, lakini kuna wengi tu wanasema wana-ship worldwide wakati kwenye baadhi ya nchi hawafanyi!! Wale wanao-locate US ni kwavile ni free shipping there4, kama una-organise nao at ur expense some can ship the item provided uwezekano huo upo-----those people are doin business, so we kama ume-bid mzigo wa thousands of dollars na kuna possibility ya kufanya shipment; they can do it!

Ni kweli Mkuu na vilevile wengine huko huko US huwa wanakucharge gharama za kuship hata within the US


Na pia KUNA VITU HUKOHUKO EBAY WANSHIP FREE TO TANZANIA. Hivi viko Ebay lakini mostly vinatoka China au Hong Kong
 
Mkuu chief-mkwawa, mie mbona nilikuwa nafanya manunuzi ya domain, wakaniambia ingiza credit card number, halafu kwenye maelezo yao wakasema credit kadi namba inaweza kuwa ni ya credit card, visa card, master card n.k., lakini kila nikiweka card number ya crdb visa card wananiambia invalid! Inakuwaje?

Kwanza jua mpaka wakisema invalid ujue namba hazijatimia idadi yake na card no sio acount number ni zile namba nyingi ambazo zipo mbele ya card yako refer herufi b kwenye mchoro nliotoa wa visa card.

Then ndo mana nikashauri utumie paypal maana ukiingiza detail zote kwenye paypal utaingiza mara moja tu then purchase zote utakazofanya zitafanyika bila kuingiza detail yoyote zaidi ya user na pass ya paypal.

Na kuhusu makato ya mwezi paypal hawakati ni bureee
 
Wanakwambia Invalid kwasababu bank yako bado haijaiwezesha kadi yako kutambulika na kufanya kazi ya manunuzi online. Nenda bank na waeleze dhumuni lako na wataiwezesha kadi yako kupiga mzigo. Ila ni vizur ukajiunga na paypal then utakua safe zaidi kuliko kuexpose kila sehemu details zako za kadi.
Mkuu chief-mkwawa, mie mbona nilikuwa nafanya manunuzi ya domain, wakaniambia ingiza credit card number, halafu kwenye maelezo yao wakasema credit kadi namba inaweza kuwa ni ya credit card, visa card, master card n.k., lakini kila nikiweka card number ya crdb visa card wananiambia invalid! Inakuwaje?
 
Mfano nimeijua email yako ni mimi@sisi.com moja kwa moja najua umefungulia sisi.com so nahack sisi.com napata pass zako then naenda paypal kuforgot password napata pass yako ya paypal then nakuibia account. Thats why nkasema kama business ni serious better hata email ueke ya siri
Mkuu mi nadhani cha msingi ni kulinda password yako tu, lakini ukisema mtu akijua email uliyofungulia anaweza kukuibia ni kweli lakini pia kuificha iyo email isijulikane ni vigumu kama utataka na wewe watu wakulipe kupitia paypal. Kwenye API ya paypal unachotakiwa kuweka ni email yako, na mtu akibofya kibutton cha pay now with paypall inafunguka profile ya paypall ikiwa na email yako kwa pembeni. So cha msingi ni kulinda password yako
 
Hivi kuna charges nyingine Paypal zaidi ya registration fees na unapofanya sell/buy transaction?



Ukitaka kufungua paypal inabidi ufuate njia hizi

1. visit website ya paypal
Nenda http://paypal.com ukifika utaregister acount na kila kitu i hope haitakushinda. Hakikisha unatumia email ya ukweli na kama unafanya real business ni bora ikawa email ya siri unayoijua wewe tu ili kuepuka wizi.

2. Nenda benki yako husika
Mfano mimi nilitumia crdb nilienda bank nkaomba waifungue card yangu ya master card ili itumie internet (visa pia inakubali) kuna fomu watakupa ujaze itataka card namba (sio acount) kujua kadi namba utaona chini huko. Ukimaliza kujaza wape fomu yao na waulize itakua tayari baada ya muda gani?. Mara nyingi baada ya masaa 24 inakua tayari.

3. rudi tena website ya paypal
Hapa ushakua member so wewe utalogin tu ukilogin utaona message ya kuverify card yako click hapo na ingiza details za card yako ambazo zitakua

-card no (sio account no)
VisaDebitImage_Features.jpg


Herufi B ni card no
Herufi D ni jina na expiry date
-Utaeka na expire date kama inavoonekana
-utaeka digit 3 za nyuma kama inavoonekana kwenye picha chini.
security_code_visa.png


Ukimaliza watakukata dola 1.94 na watataka uiverfy card kwa benk statement.

rudi benki baada ya siku 3
Mambo ya online yanachelewa baada ya sku tatu statement yako itakua tayari sorry sipo njiani ila nkipata muda ntawatumia picha namna ya kuisoma hio code ila hapa ntawaonyesha theorotically
Ipo namna hii

++++++++pp*xxxxCODE

Huo ndo mfano wake code ya kuverify inakaa kati ya neno pp* na neno CODE yani hizo xxxx zinakua 4

5. Rudi paypal
Hapa utaclick tena verify then utaingiza hizo 4 code then ur done paypal ipo integrated na card yako.


how it works?
Bahati nzuri nimenunua domain na hii njia. Na fata njia hizi na wewe kununua safe.

-kwanza ingia website ya kununua hicho kitu unachotaka then chagua malipo kwa paypal

-utaletwa page ya malipo ya paypal ingiza details zako za paypal (username na pass). Hakikisha adress juu ni paypal na ipo katika secure conection

- ukisha login utaona card yako pale select it kufanya hayo manunuzi na paypal wao watakata hela bila wale jamaa unaonunua kwao kujua details za acount yako

- utamaliza manunuzi na kusubiria siku 3 tena ili bank yako ihamishe hizo fedha.

Hii ndo njia salama ya kununua vitu online kama una tatizo usisite kupost chini.
View attachment 59916
 
Back
Top Bottom