Alfatonics
Member
- Mar 2, 2022
- 18
- 29
Kuna mambo kadhaa ya kuzingatia kabla ya kuchagua laptop ya kununua
Processor, Storage,RAM, Display, Graphics n.k
1.Processor
Hapa ndo kwenye performance nzima ya kompyuta yako Ni namna kompyuta inavyochakata taarifa au kila kitu unachofanya kwenye kompyuta yako kinapitia hapa kufanyiwa kazi
Processor ikiwa na uwezo mkubwa kompyuta yako itakua fasta zaidi kwenye utendaji kazi wake.
Hupimwa kwa clockspeed (GHz)
2. Storage
Hapa ni uwezo wa kompyuta kuhifadhi data zako.
Kwa Sasa ziko storage za aina mbili (SSD &HDD).
Hupimwa kwa bytes(MB,GB,TB?
3. RAM
Hii ni temporary storage inachukua taarifa kupeleka kwenye processor
Ukubwa wa RAM hufanya kubeba taarifa nyingi kwa sekunde.
Hupimwa kwa bytes
4. Display
Hapa ni size ya kioo chako unapendelea kikubwa, kidogo au size ya Kati Ni wewe tu
Hapa pia utachagua Kama kiwe touch screen au kawaida
Hupimwa kwa inch(diagonal)
5. Graphic Card(GPU)
Hapa tunaongeza uwezo wa kompyuta katika kuchakata taarifa zake, tunaiongezea uwezo processor kutokana na matumizi ambayo unakuwa nayo.
Kuna baadhi ya softwares haziwezi endeshwa na kompyuta zisizo kuwa na GPU ni vizuri kabla hujanunua kompyuta ujue Ni matumizi gani utakuwa nayo
Wanaotengeza hizi card wapo Nvidia,AMD n.k
Tuje hapa Sasa
a) Ram 2gb-4gb , storage 32gb-500gb, processor 1.0ghz-2.0ghz. Kusomea, kuangalia muvi,kufanya kazi ndogo ndogo kama typing,Excel, power point n.k
b) Ram 4gb-8gb , storage 320gb-500gb, processor 2.0ghz-2.5ghz. Software development (coding), graphics design(Photoshop, illustrator n.k), na hayo yote hapo juu kwenye (a)
c) Ram 8gb-16gb , storage 500gb-1TB, processor 2.0+,graphic card 2gb+. Hapa utaweza kufanya design kama za AutoCAD, solidworks, Animations n.k
NOTE
Processor Ni somo Pana sana Kuna ishu za generation,basic and logical processors, n.k Yani unaweza ona clockspeed(GHz) Ni 2.2ghz lakini no. of processors ziko 4 lakini nyingne ikawa na 1.8ghz af no.of processors zikawa 8.
Hapa usikariri kuwa processor lazima iwe kubwa, generations matters alot
Zingatia zaidi processor kwa mahitaji ya kompyuta yenye kazi nzito maana RAM, storage Ni rahisi kuongeza Ila processor hutaweza kuongeza
Processor, Storage,RAM, Display, Graphics n.k
1.Processor
Hapa ndo kwenye performance nzima ya kompyuta yako Ni namna kompyuta inavyochakata taarifa au kila kitu unachofanya kwenye kompyuta yako kinapitia hapa kufanyiwa kazi
Processor ikiwa na uwezo mkubwa kompyuta yako itakua fasta zaidi kwenye utendaji kazi wake.
Hupimwa kwa clockspeed (GHz)
2. Storage
Hapa ni uwezo wa kompyuta kuhifadhi data zako.
Kwa Sasa ziko storage za aina mbili (SSD &HDD).
Hupimwa kwa bytes(MB,GB,TB?
3. RAM
Hii ni temporary storage inachukua taarifa kupeleka kwenye processor
Ukubwa wa RAM hufanya kubeba taarifa nyingi kwa sekunde.
Hupimwa kwa bytes
4. Display
Hapa ni size ya kioo chako unapendelea kikubwa, kidogo au size ya Kati Ni wewe tu
Hapa pia utachagua Kama kiwe touch screen au kawaida
Hupimwa kwa inch(diagonal)
5. Graphic Card(GPU)
Hapa tunaongeza uwezo wa kompyuta katika kuchakata taarifa zake, tunaiongezea uwezo processor kutokana na matumizi ambayo unakuwa nayo.
Kuna baadhi ya softwares haziwezi endeshwa na kompyuta zisizo kuwa na GPU ni vizuri kabla hujanunua kompyuta ujue Ni matumizi gani utakuwa nayo
Wanaotengeza hizi card wapo Nvidia,AMD n.k
Tuje hapa Sasa
a) Ram 2gb-4gb , storage 32gb-500gb, processor 1.0ghz-2.0ghz. Kusomea, kuangalia muvi,kufanya kazi ndogo ndogo kama typing,Excel, power point n.k
b) Ram 4gb-8gb , storage 320gb-500gb, processor 2.0ghz-2.5ghz. Software development (coding), graphics design(Photoshop, illustrator n.k), na hayo yote hapo juu kwenye (a)
c) Ram 8gb-16gb , storage 500gb-1TB, processor 2.0+,graphic card 2gb+. Hapa utaweza kufanya design kama za AutoCAD, solidworks, Animations n.k
NOTE
Processor Ni somo Pana sana Kuna ishu za generation,basic and logical processors, n.k Yani unaweza ona clockspeed(GHz) Ni 2.2ghz lakini no. of processors ziko 4 lakini nyingne ikawa na 1.8ghz af no.of processors zikawa 8.
Hapa usikariri kuwa processor lazima iwe kubwa, generations matters alot
Zingatia zaidi processor kwa mahitaji ya kompyuta yenye kazi nzito maana RAM, storage Ni rahisi kuongeza Ila processor hutaweza kuongeza