OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Mkuu unataka kutuambia Dr Slaa, alivyowafukuza Madiwani wa Mwanza, Matata na Chagulani, ni amri kutoka kwa mama Junior Josephine, mbona Mbowe anaendesha siasa zake peke yake, Dr Slaa jifunze kwa Mbowe unaingamiza Chadema.
wewe kapokee chako kwa Nape achana na chadema, wewe kwa umbumbu wako unaweza kumshauri mbowe au slaa??