Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,209
- 42,068
Watanzania zao ni kuweka kichwani kila kitu wanacho ambiwa!
Vitu vingine nivya kufikiri kabla ya kujadili:
Vitu vingine nivya kufikiri kabla ya kujadili:
... Josephine...
In her SOCIAL LIFE i don't bother even wasting my energies & time to discuss her.... let her do it whatsoever she desires.... however .... In POLITICAL LIFE.... lazima Dr. Slaa atumie busara sana kumfundisha na kumkanya... of which akichelewa ATAMHARIBIA.....
She seems too vocal kisiasa.... akae pembeni amfuate mumewe as a supporter....
In few days ahead kichama akiingilia uongozi na ushawishi au watu wakimtumia ili wafanikishe kupata uongozi CDM au tetesi kama hizi za fukuza fukuza ITAMCHAFUA Dr. sana.... akae pembeni kisiasa....