Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,028
- 12,353
Kwa wale wote wanao shangaa maigizo ya makonda kukaripia viongozi wa kiserikali wanapaswa kufuatilia na kujifunza asili ya siasa zetu.
Baada ya ziara ya Mwalimu Nyerere uchina na Tanzania kupitia mabadiliko makubwa ya kisiasa na kuanza kufuata siasa za kijamaa.
Katika mabadiliko hayo nguvu ya kiserikali na mambo yote nchini yalikuwa chini ya chama.
Nguvu ya viongozi wa kiserikali inategemeana na nguvu waliyo nayo ndani ya chama na wala sio serikalini.
Mfano nchi ya kikomunisti Vietnam Rais wake Von Van Thuong hana nguvu yoyote ya kimaamuzi mbele ya katibu mkuu wa chama cha kikomunisti cha kivietnam bwana Nguyen Phu Trong.
Chama cha kikomunisti cha Vietnam power structure yao inaanzia kwa Katibu mkuu wa chama hawana cheo cha mwenyekiti wa chama kama hapa Tanzania.
Turudi Tanzania nguvu kubwa ya Samia Rais wa Tz ipo kwenye cheo chake cha mwenyekiti wa chama na wala sio cha urais.
CCM walipitia mabadiliko na kuamua mtu akiwa Rais basi moja kwa moja lazima awe mwenyekiti wa chama ili kuondoa migongano baina ya mwenyekiti wa chama na Rais.
China nao walipitia mabadiliko ya namna hiyo baada ya position ya katibu mkuu wa chama kutokuwa na ukomo wa muda ili walazimu na position ya Urais kuondolewa ukomo wa muda ili yasije kutokea ya migongano baina ya katibu mkuu wa chama na Rais.
Madaraka ndani ya utawala wa Tanzania yana anzia ndani ya chama kabla ya serikali.
Baada ya ziara ya Mwalimu Nyerere uchina na Tanzania kupitia mabadiliko makubwa ya kisiasa na kuanza kufuata siasa za kijamaa.
Katika mabadiliko hayo nguvu ya kiserikali na mambo yote nchini yalikuwa chini ya chama.
Nguvu ya viongozi wa kiserikali inategemeana na nguvu waliyo nayo ndani ya chama na wala sio serikalini.
Mfano nchi ya kikomunisti Vietnam Rais wake Von Van Thuong hana nguvu yoyote ya kimaamuzi mbele ya katibu mkuu wa chama cha kikomunisti cha kivietnam bwana Nguyen Phu Trong.
Chama cha kikomunisti cha Vietnam power structure yao inaanzia kwa Katibu mkuu wa chama hawana cheo cha mwenyekiti wa chama kama hapa Tanzania.
Turudi Tanzania nguvu kubwa ya Samia Rais wa Tz ipo kwenye cheo chake cha mwenyekiti wa chama na wala sio cha urais.
CCM walipitia mabadiliko na kuamua mtu akiwa Rais basi moja kwa moja lazima awe mwenyekiti wa chama ili kuondoa migongano baina ya mwenyekiti wa chama na Rais.
China nao walipitia mabadiliko ya namna hiyo baada ya position ya katibu mkuu wa chama kutokuwa na ukomo wa muda ili walazimu na position ya Urais kuondolewa ukomo wa muda ili yasije kutokea ya migongano baina ya katibu mkuu wa chama na Rais.
Madaraka ndani ya utawala wa Tanzania yana anzia ndani ya chama kabla ya serikali.