jouneGwalu
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 2,687
- 1,780
Dhumuni la mkutano ni nini?
Kuongelea nini?
Maswali ya msingi yasiyo na najibu muafaka mpaka sasa....
Agenda eti zitakuja kama surprise, yaani anazo yeye mwenye mfukoni mwake lol
Dhumuni la mkutano ni nini?
Kuongelea nini?
Maswali ya msingi yasiyo na najibu muafaka mpaka sasa....
Agenda eti zitakuja kama surprise, yaani anazo yeye mwenye mfukoni mwake lol
Tofautisha hotuba na majadiliano ..... agenda huwa zinatolewa kama yanayofanyika ni majadiliano bhana!
Pasco, tangu kutangazwa kwa habari kuwa rais Kikwete atakutana na wazee wa dar es salaam, kumekuwa na mijadala ikihoji hawa wazee wa Dar es Salaam ni nani hasa? Unaweza kutupatia maelezo kuonyesha hao waliopo hapo kama Wazee wa Dar es Salaam ni nani hasa?Wanabodi, niko ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee kuwa update huu mkutano wa Rais Jakaya Kikwete na wazee wa Darisalama.
Ukumbi umeshiba, viongozi wengi wameshawasili, JK anatarajiwa kuingia any moment from now!.
Karibuni.
Wanabodi, niko ndani ya ukumbi wa Diamond Jubilee kuwa update huu mkutano wa Rais Jakaya Kikwete na wazee wa Darisalama.
Ukumbi umeshiba, viongozi wengi wameshawasili, JK anatarajiwa kuingia any moment from now!.
Karibuni.
The good thing ni kwamba kila mmoja wetu anataka kuja Rais ataongea nini lakini kila mtu anajifanya anaponda
NB Rais haendi kujadiliana na mtu au kuulizwa maswali anakwenda kuongea na Taifa through wazee wa DSM
sasa kipi ni kipi, kwani kampeni za CCM uzinduzi umeisha arusha??? au wanapiga dabo-dabo?