Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,394
- 81,877
Nilichogundua, wanasiasa siyo viumbe wa kuwaamini. Ubinafsi na kujiona pasipo wao, mambo hayaendi; ndiyo hulka yao.Kwa staili hiyo akipata u Rais ataachia kiti kweli?
Nilichogundua, wanasiasa siyo viumbe wa kuwaamini. Ubinafsi na kujiona pasipo wao, mambo hayaendi; ndiyo hulka yao.Kwa staili hiyo akipata u Rais ataachia kiti kweli?
Mwenyekiti Ccm-Mkapa Chadema Mbowe
Mwenyekiti Ccm Kikwete -Chadema -Mbowe..
Mwenyekiti Ccm-Magufuli-Chadema Mbowe..
Mwenyekiti Ccm-Samia -Chadema -Mbowe...
Labda ni Mwenyekiti Hadi kifo
Mimi ni chadema toka upo tumboni na kabla chama hakijaanzishwa nilishachukua kadi mwaka 1947Tangu lini kijani ukawa na mahaba ya kweli kwa cdm kama si unafiki na uzandiki tu!!
Toka nipo tumboni? Unanijua mimi? Kwa taarifa yako sijawahi kuwa tumboni!Mimi ni chadema toka upo tumboni
Unaonekana Una mahaba Sana na chama wakat wenye chama tumetulia tunakula ruzuku na kulamba asaliToka nipo tumboni? Unanijua mimi? Kwa taarifa yako sijawahi kuwa tumboni!
Uamuzi uko mikononi mwa wenye chama,kwani wewe unaumizwa na Nini?.kama na wewe ni mhusika nenda kapige Kura ya hapana au ukagombee mshindane maana hiyo ni haki ya kila mwanachama.Freeman Mbowe licha ya chama kushindwa kila kitu kikiwa mikononi mwake, wabunge kukimbia kutoka 200 hadi kubaki mmoja, chama kushindwa kujenga ofisi yake kwa miaka 30, kulamba asali na kubadili gia angani lakini sasa ameanza kutuma chawa wake/ nyumbu wake akiwemo Boniface Jacob kuanza kumpigia debe tena agombee uenyekiti wa CHADEMA!!
Hivi hapo CHADEMA hawana kipimo cha kupima utendaji wa viongozi wao? Yani kiongozi hata afeli vipi lakini bado anapigiwa debe tu? Anataka afie madarakani ? Inashangaza kwa kweli.
Angalia Kwa makini, CCM wanabadilishana Uenyekiti wanapokabidhiana DOLA, CDM ikipata DOLA mkt atabadilika.Mwenyekiti Ccm-Mkapa Chadema Mbowe
Mwenyekiti Ccm Kikwete -Chadema -Mbowe..
Mwenyekiti Ccm-Magufuli-Chadema Mbowe..
Mwenyekiti Ccm-Samia -Chadema -Mbowe...
Labda ni Mwenyekiti Hadi kifo
Acha kutetea upuuziAngalia Kwa makini, CCM wanabadilishana Uenyekiti wanapokabidhiana DOLA, CDM ikipata DOLA mkt atabadilika.
Erythrocyte asione hii 😂Mwenyekiti Ccm-Mkapa Chadema Mbowe
Mwenyekiti Ccm Kikwete -Chadema -Mbowe..
Mwenyekiti Ccm-Magufuli-Chadema Mbowe..
Mwenyekiti Ccm-Samia -Chadema -Mbowe...
Labda ni Mwenyekiti Hadi kifo
Bado Chadema inakuhitaji mwamba Mbowe.Freeman Mbowe licha ya chama kushindwa kila kitu kikiwa mikononi mwake, wabunge kukimbia kutoka 200 hadi kubaki mmoja, chama kushindwa kujenga ofisi yake kwa miaka 30, kulamba asali na kubadili gia angani lakini sasa ameanza kutuma chawa wake/ nyumbu wake akiwemo Boniface Jacob kuanza kumpigia debe tena agombee uenyekiti wa CHADEMA!!
Hivi hapo CHADEMA hawana kipimo cha kupima utendaji wa viongozi wao? Yani kiongozi hata afeli vipi lakini bado anapigiwa debe tu? Anataka afie madarakani ? Inashangaza kwa kweli.
Huo ndio UKWELI .Acha kutetea upuuzi
Kwan anagombea huko ccm? Ahofie kukosa kura yako? Kama anagombea chadema Sisi chadema tutamchaguaFreeman Mbowe licha ya chama kushindwa kila kitu kikiwa mikononi mwake, wabunge kukimbia kutoka 200 hadi kubaki mmoja, chama kushindwa kujenga ofisi yake kwa miaka 30, kulamba asali na kubadili gia angani lakini sasa ameanza kutuma chawa wake/ nyumbu wake akiwemo Boniface Jacob kuanza kumpigia debe tena agombee uenyekiti wa CHADEMA!!
Hivi hapo CHADEMA hawana kipimo cha kupima utendaji wa viongozi wao? Yani kiongozi hata afeli vipi lakini bado anapigiwa debe tu? Anataka afie madarakani ? Inashangaza kwa kweli.
Ama Kweli, AKUTUKANAYE......!!!!Kitendo cha ofisi kukaa usawa wa makaburi ni zindiko tosha kwa chama dhidi ya wafuasi wake.
Dogo umepanikNikikuambia wewe ni mpumbavu unatukana ila kaa ukijua wewe ni mpumbavu haswa?
Mbowe ametangaza wapi kugombea? Lini?
Bonface Jackobo ana msimamo wake kama mwanachama na siyo lazima uwe wa chama
Lini CDM walishawahi kuwa na wabunge 200?
Kama na wewe ni mlinda legacy basi kazi ipo
Achana na mambo ya chademaFreeman Mbowe licha ya chama kushindwa kila kitu kikiwa mikononi mwake, wabunge kukimbia kutoka 200 hadi kubaki mmoja, chama kushindwa kujenga ofisi yake kwa miaka 30, kulamba asali na kubadili gia angani lakini sasa ameanza kutuma chawa wake/ nyumbu wake akiwemo Boniface Jacob kuanza kumpigia debe tena agombee uenyekiti wa CHADEMA!!
Hivi hapo CHADEMA hawana kipimo cha kupima utendaji wa viongozi wao? Yani kiongozi hata afeli vipi lakini bado anapigiwa debe tu? Anataka afie madarakani ? Inashangaza kwa kweli.
Nadhani ni muda Mbowe kustaafu.Mwenyekiti Ccm-Mkapa Chadema Mbowe
Mwenyekiti Ccm Kikwete -Chadema -Mbowe..
Mwenyekiti Ccm-Magufuli-Chadema Mbowe..
Mwenyekiti Ccm-Samia -Chadema -Mbowe...
Labda ni Mwenyekiti Hadi kifo
Mbowe akigombea Tena nitamuona fala na nitampinga mpaka atakapostaafu.Anajua Mbowe ni akili kubwa mno, ataendelea kupangua mbinu zao mbaya za kuua upinzani. Pole yake huyu ndugu, awe na uhakika, wala sio tetesi, Mbowe atagombea na ataendelea kuwa Mwenyekiti.
Wenye chama akina Nani? Mbowe aliahidi anastaafu. Akikaidi tutampinga Sana.Hutaki! Wenye chama chao wanamtaka aendelee kuwaongoza, we kinakuuma nini?
Wanachama wakimtaka aendelee, kuwakatalia ni utovu wa nidhamu.Wenye chama akina Nani? Mbowe aliahidi anastaafu. Akikaidi tutampinga Sana.