Freeman Mbowe kugombea tena uenyekiti wa CHADEMA

Kulwa Jilala

JF-Expert Member
Sep 6, 2022
3,510
7,757
Freeman Mbowe licha ya chama kushindwa kila kitu kikiwa mikononi mwake, wabunge kukimbia kutoka 200 hadi kubaki mmoja, chama kushindwa kujenga ofisi yake kwa miaka 30, kulamba asali na kubadili gia angani lakini sasa ameanza kutuma chawa wake/ nyumbu wake akiwemo Boniface Jacob kuanza kumpigia debe tena agombee uenyekiti wa CHADEMA!!

Hivi hapo CHADEMA hawana kipimo cha kupima utendaji wa viongozi wao? Yani kiongozi hata afeli vipi lakini bado anapigiwa debe tu? Anataka afie madarakani ? Inashangaza kwa kweli.
 
Freeman Mbowe licha ya chama kushindwa kila kitu kikiwa mikononi mwake, wabunge kukimbia kutoka 200 hadi kubaki mmoja , chama kushindwa kujenga ofisi yake kwa miaka 30, kulamba asali na kubadili gia angani lakini sasa ameanza kutuma chawa wake/ nyumbu wake akiwemo Boniface Jacob kuanza kumpigia debe tena agombee uenyekiti wa Chadema!!

Hivi hapo Chadema hawana kipimo cha kupima utendaji wa viongozi wao? Yani kiongozi hata afeli vipi lakini bado anapigiwa debe tu? Anataka afie madarakani ? Inashangaza kwa kweli.
Nikikuambia wewe ni mpumbavu unatukana ila kaa ukijua wewe ni mpumbavu haswa?
Mbowe ametangaza wapi kugombea? Lini?
Bonface Jackobo ana msimamo wake kama mwanachama na siyo lazima uwe wa chama
Lini CDM walishawahi kuwa na wabunge 200?
Kama na wewe ni mlinda legacy basi kazi ipo
 
Nikiweka pemben mahaba ya chama, kiukwel mbowe kama atagombea tena, nakili kwamba Mimi na wanachama wenzangu , tutarudisha kadi za chama, bora tubaki singo na huyu mwenzetu anaetoa taarifa za chama muda wote, hapa jukwaani utazani analipwa sijui ethy nini wakiongozana na mshana wakikaid kurudisha kadi ya.chama tunaenda kuwapikua Nigeria maana watakuwa wamerogwa pakubwa na mwenyekit wetu emungu tusaidie
 
Freeman Mbowe licha ya chama kushindwa kila kitu kikiwa mikononi mwake, wabunge kukimbia kutoka 200 hadi kubaki mmoja , chama kushindwa kujenga ofisi yake kwa miaka 30, kulamba asali na kubadili gia angani lakini sasa ameanza kutuma chawa wake/ nyumbu wake akiwemo Boniface Jacob kuanza kumpigia debe tena agombee uenyekiti wa Chadema!!

Hivi hapo Chadema hawana kipimo cha kupima utendaji wa viongozi wao? Yani kiongozi hata afeli vipi lakini bado anapigiwa debe tu? Anataka afie madarakani ? Inashangaza kwa kweli.
Anachofanya CHADEMA ndicho kinawezekana kufanyika Kitaifa?. Udikteta tu. Akiwa anakanyaga kanyaga Katiba ya CHADEMA ataifanya vipi Katiba ya Jamhuri? Haitanishangaza ikiwa hivyo.

Inashangaza kweli. Ngoja yule dawa aje humu, galagalano, tindo littu, mujografia na wapindishaji na wazimishaji videta wengine..... karibuni kwenye domokrasia. Waje wamtetee
 
Mwenyekiti Ccm-Mkapa Chadema Mbowe
Mwenyekiti Ccm Kikwete -Chadema -Mbowe..
Mwenyekiti Ccm-Magufuli-Chadema Mbowe..
Mwenyekiti Ccm-Samia -Chadema -Mbowe...

Labda ni Mwenyekiti Hadi kifo
Ni aibu iliyoje kwa chama kinachojiita Chama cha Demokrasia na Maendeleo!!

Sababu zinazotolewa za kumuidhinisha mtu mmoja kwa awamu ya nne sasa, kamwe sijawahi kuzielewa. Na katika hili, Chadema kitapuuzwa na wapenda mabadiliko wengi.
 
Hii taarifa bado haina uthibitisho kutoka Chadema, kauli pekee aliyoitoa Boniface Jacob akihojiwa Star Tv isichukuliwe kama ndio taarifa rasmi ya Mbowe mwenyewe, au Chadema.

Anyway, kwani wewe nini kinakuuma Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa chama kisicho kuhusu?
Anajua Mbowe ni akili kubwa mno, ataendelea kupangua mbinu zao mbaya za kuua upinzani. Pole yake huyu ndugu, awe na uhakika, wala sio tetesi, Mbowe atagombea na ataendelea kuwa Mwenyekiti.
 
Ni aibu iliyoje kwa chama kinachojiita Chama cha Demokrasia na Maendeleo!!

Sababu zinazotolewa za kumuidhinisha mtu mmoja kwa awamu ya nne sasa, kamwe sijawahi kuzielewa. Na katika hili, Chadema kitapuuzwa na wapenda mabadiliko wengi.
Hii inaonekana vizuri zaidi.
 
Kama ni kweli basi ni pigo kubwa kwa CCM, maana ndoto ya CCM miaka yote ni kuona Chama hiki kikipata mtu wa kukiongoza ambaye codes zake zinaweza kuwa identified kirahisi na kuwa hacked.
Sababu nyepesi sana hizi! Chadema ina hazina ya wanachama waadilifu, wazalendo, na wapambanaji kama John Heche, na wengineo wengi!

Kwa nini msiwape nafasi ya kukiongoza chama? Au ni kwa sababu siyo watu wa kabila la muasisi wa chama?

Katika hili, nitawapinga kama nilivyowapinga wakati ule huyu Mwenyekiti wenu alipogombea kwa awamu ya 3 mfululizo, na kinyume kabisa na Katiba ya chama chenu iliyomtaka Mwenyekiti kuhudumu kwa vipindi viwili tu.
 
Freeman Mbowe licha ya chama kushindwa kila kitu kikiwa mikononi mwake, wabunge kukimbia kutoka 200 hadi kubaki mmoja, chama kushindwa kujenga ofisi yake kwa miaka 30, kulamba asali na kubadili gia angani lakini sasa ameanza kutuma chawa wake/ nyumbu wake akiwemo Boniface Jacob kuanza kumpigia debe tena agombee uenyekiti wa CHADEMA!!

Hivi hapo CHADEMA hawana kipimo cha kupima utendaji wa viongozi wao? Yani kiongozi hata afeli vipi lakini bado anapigiwa debe tu? Anataka afie madarakani ? Inashangaza kwa kweli.
Sisi wenye akili furaha yetu ni vile unavyoumia😛😛😛
 
Back
Top Bottom