- Thread starter
- #161
Napenda nikujuze kuwa Mseto ule ni wa Znz kwa Znz na wala hauwezi kabisa kuhusisha wa Tanganyika. Mseto ule umewekwa kwa ajili ya maslahi ya Znz na kwa waZanzibar. na wala si kwa WaTanganyika.
Lakini hapa kinachoongelewa ni Muungano na uhuru wa Znz kujikomboa dhidi ya Tanzania.
kama ndoa
ikishindana mpeane Talaka