OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,518
Symbiosis ndo suluhu baanaaaa...........................Kama tunaangalia TV na wewe huoni kwa sababu mtu yuko mbele yako unatakiwa kuhama hapo au umtoe anayekuzinga.................keleleeeeeee tu mpaka tutakuwa viziwi bure sasa wewe huoni unapiga kelele ili wote tusogee.............. tukishakuwa viziwi kwa kelele zako (pamoja na wewe) utakuwa umpoteza vyote....hukuona na yet huwezi kusimulawa coz ni kiziwi....
Tafakari....chukua hatua
Tafakari....chukua hatua