Free and Independent Zanzibar

Symbiosis ndo suluhu baanaaaa...........................Kama tunaangalia TV na wewe huoni kwa sababu mtu yuko mbele yako unatakiwa kuhama hapo au umtoe anayekuzinga.................keleleeeeeee tu mpaka tutakuwa viziwi bure sasa wewe huoni unapiga kelele ili wote tusogee.............. tukishakuwa viziwi kwa kelele zako (pamoja na wewe) utakuwa umpoteza vyote....hukuona na yet huwezi kusimulawa coz ni kiziwi....

Tafakari....chukua hatua
 
551626_353700591348080_100001244264321_1107183_1300304042_n.jpg



Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Zanzibar, Vyuo vya Kati pamoja na Skuli za Sekondari wakiwa katika mkutano wa kitaifa uliofanyika Hoteli ya Rumaisa, mjini Zanzibar. Mkutano huo ulioanza saa tatu ya asubuhi hadi saa saba mchana, ulitoa azimio la haja ya kuirudisha Jamhuri ya Watu wa Zanzibar. Pia wanafunzi hao kike kwa kiume walijadili haja ya kuwa na mahitaji ya mabadiliko katika nchi yao ili ijifunguwe kielimu, kiuchumi na kimaendeleo kutokana na udhaifu wa Muungano. Mkataba wa USHIRIKIANO mwema wa kitaalamu wa RIDHAA baina ya WANANCHI wa nchi mbili husika na/au zaidi - utafuatia BAADA ya kuwa na JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR - KWANZA itakayoyarudisha mamlaka na uwezo wote wa kuendesha Serikali kwa wananchi wa Zanzibar kama Katiba ya 1984, Toleo la 2010 inavyoeleza kupitia ibara yake ya tisa, na pia kupitia Jamhuri ya Watu wa Zanzibar - kuipa Zanzibar uwezo wa kufunga mikataba ya kitaifa na kimataifa yenye maslahi ya maendeleo kwa Wazanzibari WOTE. Jamhuri ya Watu wa Zanzibar KWANZA !

541229_3431904244058_1463950695_3121127_675864840_n.jpg


Mzee Hassan Nassor Moyo akiwa na Vijana wa Umoja wa Kitaifa - Zanzibar pamoja na Viongozi wa Serikali za Wanafunzi wa Vyuo Vikuu vya Zanzibar - wakipiga picha ya pamoja baada ya kikao cha masaa matatu kujadili mahitaji ya mabadiliko katika nchi yao ili ijifunguwe kielimu, kiuchumi na kimaendeleo kutokana na udhaifu wa Muungano. Mkataba wa USHIRIKIANO mwema wa kitaalamu wa RIDHAA baina ya WANANCHI ...wa nchi mbili husika na/au zaidi - utafuatia BAADA ya kuwa na JAMHURI YA WATU WA ZANZIBAR - KWANZA itakayoyarudisha mamlaka na uwezo wote wa kuendesha Serikali kwa wananchi wa Zanzibar kama Katiba ya 1984, Toleo la 2010 inavyoeleza kupitia ibara yake ya tisa, na pia kupitia Jamhuri ya Watu wa Zanzibar - kuipa Zanzibar uwezo wa kufunga mikataba ya kitaifa na kimataifa yenye maslahi ya maendeleo kwa Wazanzibari WOTE. Jamhuri ya Watu wa Zanzibar KWANZA

524495_303051039766559_100001849965521_757667_440214184_n.jpg


522378_237322486366875_100002673773993_433967_1711335735_n.jpg


528309_237249676374156_100002673773993_433729_241707270_n.jpg


541247_194097650699972_100002992145083_316669_178513168_n.jpg

303356_238123439620113_100002673773993_435697_1523478767_n.jpg
 
421835_296626590404978_100001729176510_775782_1375566661_n.jpg



hawa hawataki mungano!!!!!!!!!!!!!!!!!!
421067_180296242080113_100002992145083_283447_92307815_n.jpg


Bendera ya Dola ya Zanzibar tukufu!ni ya tatu kutoka kulia!

422223_243412859080138_100002342779262_533196_1034650322_n.jpg

429232_370851389599313_100000233654154_1386823_765438840_n.jpg


432242_336299029743262_100000895025719_1036391_196256387_n.jpg


408777_374920875855507_100000127923183_1738082_1228411647_n.jpg
 
408810_360575523955274_100000084877856_1561444_1170690727_n.jpg



Hati za Muungano baina ya Nchi mbili: Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar. Tanganyika haipo na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar imebadilishwa jina na kuitwa "Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ)". Sheria ipi, ya mwaka gani, chini ya Raisi yupi, kwa sababu gani, jina la NCHI lilifutwa na badala yake likawekwa jina la SERIKALI?

405673_256579687745259_100001796897569_609880_759304988_n.jpg



375453_225416474199226_100001926253281_514304_2090848963_n.jpg

mpaka wakafanikiwa kupata uhuru wao kutoka kwa muingereza. hii picha ilipigwa usiku wa dec mwaka 1963. akionekana kwenye picha kutoka kushoto ni Qadhi mkuu wa znz Al Habib Omar Bin Sumeyt pamoja na waziri mkuu sheikh Mohamed Shamte na sultan Jamshid
-



375453_225416474199226_100001926253281_514304_2090848963_n.jpg
 
311875_276043675768798_100000895025719_873424_16822219_n.jpg


305315_271567452883087_100000895025719_858715_125792615_n.jpg


Kundi la watu kumi walioanzisha mchakato wa kudai hati ya Muungano kati ya Tanganyika na Zanzibar limeapa kuendelea na juhudi katika mahakama ya Kimataifa kuupinga Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Kundi hilo linaloongozwa na Rashid Salum Addiy, lilianzaa harakati mwaka 2005 katika mahakama kuu ya Zanzibar na mwanasheria mkuu wa Zanzibar za kudai mkataba wa muungano wenye saini mbili za Nyerere na Karume.

Dai katika Mahakama kuu lilitupwa kwa kile Mahakama ilipoona kuwa walalamikaji kushindwa kujenga hoja yao katika misingi ya kisheria. Mwanasheria mkuu naye alijibu kuwa ofisi yake haikuwa na nakala ya makubaliano.

485280_326155924118711_100001729176510_846931_817305320_n.jpg


300984_167887759962384_100002234834957_348289_1965145700_n.jpg
 
maakratari ya huo mkataba mbona hakuna sign yoyote kutoka kwa viongoxzi wetu wawili ? Huo ni usanii tu hakuna muuungano kuna mgandamano tu.
 
543_zanzibar_serena_inn_1__md.jpg

I think we should get used to the idea that one day or next few years Zanzibar will be Independent from its ever meddling mainland partner: Tanganyika.

That said, I often wonder if Jamii Forum's GREAT THINKERS can have a decent and informed discussion on the idea of an independent Zanzibar without patronising those in favour of independence

Zanzibar willnever be freer but more of a slave. You have masters from the middle East and Persia in one hand and on another you had Tanganyika that can absord some pains from your slavery.

Now your moving in into total slavery.And the question would be what master to submit to.Persia(Iran) or Oman or even the poor Yemen.I am worried if you really know the difference between FREEDOM and CHOOSING MASTERS.You are pushing us more to think freedom can be relative.Thats is the difference between the mainlanders and the Zanzibaris.Re- brain wash yourself before you can think of being a great Thinker.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom