Forojo Ganze (Master), mchawi maarufu aliyeanzisha Mwenge wa Uhuru

Mwananthropologia, i think umeassume mimi ni mkristo labda? Me si mkristo, wala muislamu. Sina dini. And sijui kama mungu yupo au hayupo na sitaki kujishughulisha nae kwa sababu fulani.

LAKINI, yes it would be realy interesting nikijua 'my' background, kama sign yako inavyosema. I read about the history of religions, and funny enough, leo ndo nagundua kwamba whenever i read about ancient religions in africa, i just read about Egypt. Imani za waafrika wengine hazijatiiliwa maanani na wasomi.

Wewe ni anthropologist kitaaluma? Au ID tu? Lol. I'll appreciate to hear what u have to say on imani za mababu zetu. Nani bado wanazipractice? Ndo hawa tunawaita wachawi? How many gods are there? Was there a 'religion'? Waliamini nini hasa? Hellfire? Heaven? Incarnation? Spirit? Ni kama thread nyingine sasa.

Lakini aim yangu ya kuhusisha uislamu na kina forojo (kulingana na mlivyomsimulia), ni sababu alikufa utafkiri yuko possesed, and my imagination of imani za mababu zetu, hakukuwa na such incidents za spirits and all. What i said got no basis at all. Ignore it.

Kwahiyo, kama ni kuwa 'labeled' na majority leo, they would call u a pagan right?

Heeh, na 'mlingotin' ndo nasikia leo. Ni wapi?? Umeelemewa? Angalu nijibu hili, yaache mengine. Lol

ok kumbe ni agnostic! haina shida ila maswali yako ni mengi yanahitaji thread yake peke yake ila nitakujb kifupi kama kuna wataalamu wengine wanaweza kuongezea nilipopungukiwa ili tusitoke nje ya mada

yes am an anthropologist by profession a student of late profesa samuel mshana

kwanza lazima ujue kuhusu african people kwa rekodi zilizopo inaonesha kulikua kuna two migrations ya kwanza ilikua kutoka south kwenda north na sababu kubwa ni kutafta suitable environment for living ndio mana unaona mafuvu ya kale ,drawings za kale kwenye caves ,zinapatikana southern of africa kama south africa,tanzania etc kwaiyo walikua kwenye old stone age ,wakaja middle stone age angalia maeneo kama isimila iringa na reason for migration ni change of environment ,either thru floods,drought etc
ikabidi wamove north ambapo kulikua kuna suitable environment naomba ujue kwamba zamani sahara desert haikua desert kulikua kuna rich natural vegetation na wakaenda juu zaidi ambapo walienda kukutana eneo la misri ambapo wakatengeneza an empire of egypt
na migration ya pili ni kwenda south baaada ya misri ya kale kukumbwa na plague, society yote ikavunjika watu weusi wenye asili zaidi za kibantu wakaenda south west now west africa wengine wakaenda southeast now sudan,ethiopia,europes wakavuka bahari kwenda mediterenean,wenye asili kama ya kiarabu,wayahudi wakaenda north east now middle east kila mtu alienda pande tofauti unaweza kujiuliza why? according to ones specialization in relation to the environment. kwa wale wakulima nadhan unawajua wabantu SW,wale wafugaji km wanilotic SE etc na wengine waliokua watumwa waliona warudi kwao wavuke bahari. so egypt is also part of our history dont ignore it.

suala la Gods ni unategemea unaomba nini? bt katika dini ya kiafrika there is one God ambaye tunaamini alicreate dunia hao wengine tunaoomba ni small gods ambao ni kama malaika ambao wanaspecialize kwenye kazi fulani, ndio maana unaona kama kuna miungu wengi bt ukimpata mzee yeyote anyejua dini ya kiafrika na simulizi za kale atakuambia yupo creator moja bt kuna miungu wadogo(angels) au kwa kiswahili tunaita mizimu

religion was there refer to egypt bt ni kama ilikufa kwani baada ya jamii kugawanyika kila moja akawa anaomba kutokana na shida zake mkulima ataomba mvua,kwaiyo ataomba kwa mizimu inayoleta mvua,wafugaji nao hivyhivyo kwa shida zake za ,mwindaji nae anaomba kwa mizimu inayomsaidia coz tulikua tunaamini mungu mkuu humuitiiti ovyo ni mwiko lazima upitie malaika zake au mizimu na zamani mungu mkuu tulikua tunapitia kwa farao kama mwakilishi wake

tulikua tunaamini there is life after death bt there was no fire or hell ya kwenda kuchomwa bt kama huku ulikuamkulima utaendelea kua mkulima hata huko heaven

suala la Forojo Ganze kua possessed hamna anayejua kilichomkuta kule ina alijitolea kufa kwani hakuna anayeenda kule akiwa sio msfi kiroho kama nilivyosema juu ilikua mwiko kwenda kumuona mungu mkuu au kulitajataja jina lake ovyo sasa kama hakua amejiandaa au alionekana mapungufu hatujui maana hakuweza kuongea alipotoka

watu wanaita wapagani,wachawi bt they r 2 different things wachawi wanafanya black magick na ni watu wanaodhuru jamii na anayeweza kumanipulate mazingira kufanya miujiza,mpagani ni mtu asiye na dini na mwanga ni mtu wise mwenye uono na wanafanya white magick, (naomba utambue kuna tofauti kati ya magick na magic)ingawa maana ya mwanga ishapotoshwa kwani walipokuja majamaa kutoka ulaya na uarabuni waliwalabel katika kundi moja

mlingotini ni sehemu ipo bagamoyo viongozi wengi wa bongo wanaenda huko kufanikisha mambo yao
 
ok kumbe ni agnostic! haina shida ila maswali yako ni mengi yanahitaji thread yake peke yake ila nitakujb kifupi kama kuna wataalamu wengine wanaweza kuongezea nilipopungukiwa ili tusitoke nje ya mada

yes am an anthropologist by profession a student of late profesa samuel mshana

kwanza lazima ujue kuhusu african people kwa rekodi zilizopo inaonesha kulikua kuna two migrations ya kwanza ilikua kutoka south kwenda north na sababu kubwa ni kutafta suitable environment for living ndio mana unaona mafuvu ya kale ,drawings za kale kwenye caves ,zinapatikana southern of africa kama south africa,tanzania etc kwaiyo walikua kwenye old stone age ,wakaja middle stone age angalia maeneo kama isimila iringa na reason for migration ni change of environment ,either thru floods,drought etc
ikabidi wamove north ambapo kulikua kuna suitable environment naomba ujue kwamba zamani sahara desert haikua desert kulikua kuna rich natural vegetation na wakaenda juu zaidi ambapo walienda kukutana eneo la misri ambapo wakatengeneza an empire of egypt
na migration ya pili ni kwenda south baaada ya misri ya kale kukumbwa na plague, society yote ikavunjika watu weusi wenye asili zaidi za kibantu wakaenda south west now west africa wengine wakaenda southeast now sudan,ethiopia,europes wakavuka bahari kwenda mediterenean,wenye asili kama ya kiarabu,wayahudi wakaenda north east now middle east kila mtu alienda pande tofauti unaweza kujiuliza why? according to ones specialization in relation to the environment. kwa wale wakulima nadhan unawajua wabantu SW,wale wafugaji km wanilotic SE etc na wengine waliokua watumwa waliona warudi kwao wavuke bahari. so egypt is also part of our history dont ignore it.

suala la Gods ni unategemea unaomba nini? bt katika dini ya kiafrika there is one God ambaye tunaamini alicreate dunia hao wengine tunaoomba ni small gods ambao ni kama malaika ambao wanaspecialize kwenye kazi fulani, ndio maana unaona kama kuna miungu wengi bt ukimpata mzee yeyote anyejua dini ya kiafrika na simulizi za kale atakuambia yupo creator moja bt kuna miungu wadogo(angels) au kwa kiswahili tunaita mizimu

religion was there refer to egypt bt ni kama ilikufa kwani baada ya jamii kugawanyika kila moja akawa anaomba kutokana na shida zake mkulima ataomba mvua,kwaiyo ataomba kwa mizimu inayoleta mvua,wafugaji nao hivyhivyo kwa shida zake za ,mwindaji nae anaomba kwa mizimu inayomsaidia coz tulikua tunaamini mungu mkuu humuitiiti ovyo ni mwiko lazima upitie malaika zake au mizimu na zamani mungu mkuu tulikua tunapitia kwa farao kama mwakilishi wake

tulikua tunaamini there is life after death bt there was no fire or hell ya kwenda kuchomwa bt kama huku ulikuamkulima utaendelea kua mkulima hata huko heaven

suala la Forojo Ganze kua possessed hamna anayejua kilichomkuta kule ina alijitolea kufa kwani hakuna anayeenda kule akiwa sio msfi kiroho kama nilivyosema juu ilikua mwiko kwenda kumuona mungu mkuu au kulitajataja jina lake ovyo sasa kama hakua amejiandaa au alionekana mapungufu hatujui maana hakuweza kuongea alipotoka

watu wanaita wapagani,wachawi bt they r 2 different things wachawi wanafanya black magick na ni watu wanaodhuru jamii na anayeweza kumanipulate mazingira kufanya miujiza,mpagani ni mtu asiye na dini na mwanga ni mtu wise mwenye uono na wanafanya white magick, (naomba utambue kuna tofauti kati ya magick na magic)ingawa maana ya mwanga ishapotoshwa kwani walipokuja majamaa kutoka ulaya na uarabuni waliwalabel katika kundi moja

mlingotini ni sehemu ipo bagamoyo viongozi wengi wa bongo wanaenda huko kufanikisha mambo yao

Very useful post_igwe like this....
 
Samahani kwa kwenda off topic kidogo. Ila mimi huwa nina amini kuwa kukosa "mawendeleo" kwetu wa Afrika kunatokana sana na kukana Mungu/miungu wetu na kupapatikia ya wenzetu.
Nchi zote zilizoendelea na zinazoendelea kwa kasi zina Miungu yao. Angalia, Americans, Europeans, Arabs, Chinese and Indians wote wana Miungu yao na wameendelea kuliko Wa Africa na wa Latino ambao kwa aslimia kubwa wameiga Miungu ya wenzao!



Turudi kwenye topic ya Mwenge! Japo sijawahi shiriki maandamano pia sijawahi tafakari sana undani wake. Hoja humu za leo zimenifanya nipate hamu ya kujua zaidi! JF 4 life. Ndio mana niko since 2006!

Hili hapo kwenye blue naliunga mkono kwa nguvu zote mkuu.
 
Ndivyo ilivyo,jiulize juu ya Kenya waliokabidhi nchi kwa mungu wa wahindi ambaye ni amber,Kenya haitaendelea kuipita India sababu wanatumia mungu wao,hayo aliyafanya jomo kenyata,na akaweka kauli mbiu ya HARAMBEE,( neno HAR ni neno la Kihindi maana yake Tukuza,na AMBEE ni mungu wa wahindi,kwahiyo HAR+AMBEE=HARAMBEE yaani Tukuza Ambee),kenya imewekwa rehani india na ikiangalia nyaraka zote za serikali ya kenya zina neno HARAMBEE hadi nembo ya taifa Lao,sasa hivi HARAMBEE imeingia Tanzania kila Changizo la kuchangia chochote liwe au kidini au kiserikali wanasema tunafanya HARAMBEE ya kuchangia kitu fulani,kwahilo hatuwezi kuendelea na kuwapita kenya maana tunatukuza mungu wao waliyemtoa india hivyo hawezi kutupa zaidi tukawapita wakenya kimaendeleo,chunguza hilo
Duuhh..thanks so much, i ddnt knew that..big up yourself.
 
Mkuu jambo usilolijua ni kama usiku wa giza totoro.
Kuna mambo mengi ya histori ya nchi yetu yaliyofichika na wale tu walio wadadisi ndio tunayafahamu.
Habari ya ulozi, matambiko na mazindiko ni habari ya kweli kabisa maana hata Kambarage alikuwa akikiri wazi kuhusika na mambo haya.
Katika moja ya hotuba za JK Nyerere, alishawahi kusimulia namna alivyofanyiwa tambiko na wazee wa Mzizima(Dar es Salaam wakati huo).
Tukio hilo lilifanywa na wazee wengi na aliwataja kwa majina na jina mojawapo nilikumbukalo ni Mzee Tambaza.
Aliendelea kwa kuzungumza namna alivyolazwa kwenye shimo mithili ya kaburi, namna alivyoruka damu mbichi ya mbuzi wa zindiko iliyonyunyizwa chini.
Hayo yote yalifanywa wakati anajiaandaa kwenda Umoja wa Mataifa, kwenda kudai haki ya Tanganyika kujitawala yenyewe kutoka kwa Serikali ya Uingereza.
Alisimulia kwa urefu tu nami sina wasaa wa kunukuu kila kitu.

Unajua haya mambo ya imani za kichawi kweli yapo tangu kale. Ila yameathili negatively karne kwa karne. Mfano hata vita ya majimaji wazee wetu wakikufa sn eti kwa sababu tu walidanganywa na chief kuwa wakitamka neno maji basi lazima watashinda. Matokeo yake wote tunajua. Unagegemeaje uchawi wkt mwenzio aba zana za kisasa za vita?
 
kwa maana nyingine unamaanisha kuwa neno 'harambee' ni mantra? (mantra ni neno maalum lenye energy ambalo likirudiwa mara nyingi lina produce a certain effect}.
ujue hata wayahudi kina ben Gurion mwaka 1948 nchi yao waliamua waiitie ISRAEL ikiwa ni muunganiko wa majina ya miungu wao watatu ISIS, RA, na ELOHIM. Isije ikawa huyu HAR ikawa ni corruption ya jina RA au RAMA wa mahabarata.

The country name Israel is based on the biblical name of the person of the same name.

On Nyerere, alikuwa anaipa jadi sehemu yake. Alishawahi hata kufukizwa kwa Jumbe Tambaza. Alikuwa anaongelea wazi alivyoheshimu mila, kwenye hotuba zake anaongelea hata "chaka la Wazanaki". Nyerere was a Catholic as a person, he was all encompassing as a statesman. He even made allowamce for the possibility pf having an atheist president.

So I can't blame the man for using sociology to connect with people and show respect for traditions. I just don't understand those who are seeing more in this.

Secretary wa Nyerere Joan Wickens alikuwa atheist, na walipatana sana na Nyerere Mkatoliki. Does that mean Nyerere was an atheist?

To me, no. He was a statesman. And all encompassing.
 
Hivi unakimbizwaga hadi zenji?

mwananthropolojia amesema una kimbizwa ndani ya mipaka ya tanzania!

jibu lako lipo kwenye hili swali.hivi zanzibar ni nchi?kama ni nchi tofauti haufiki
Kaizer Zamaulid mwananthropolojia
1-shein+akiwasha+mwenge(kushoto)+fenela(kulia).JPG


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Dkt. Ali Mohamed Shein akiwasha Mwenge wa Uhuru Mei 6,2013 katika uzinduzi wa mbio za Mwenge wa uhuru kitaifa katika sheiha ya Chokocho, wilaya ya mkoani ,mkoa wa Kusini Pemba. Mwenge utakimbizwa katika halmashauri za wilaya na manispaa 161 za Tanzania .Kijiji cha Chokocho ndipo alipozalia Rais huyo wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. (kulia) ni Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo (Tanzania) Mh, Dkt. Fenella Mukangara. (Picha na Mwanakombo Jumaa)
 
Last edited by a moderator:
Mkubwa angalia hayo maneno vizuri...kwanza umeandika mwenyewe umulike hata nje...hakafu unadanganya akili yako kwa kudondosha neno hata..wadhani utanilaghai?
(Baba,sisi tunataka kiwasha mwenge na kuuweka juu ya mlima kilimanjaro,umulike hata nje ya mipaka yetu,ulete tumaini mahala pasipo na tumaini,faraja palipo na huzuni,tumaini pasipo na tumaini,upendo penye chuki na heshima palipo na dharau),baada ya kutamka hayo mbele ya Mwl.Nyerere,Ganze alikata roho na ndipo ukaanzishwa mwenge wa uhuru,kinachonishangaza hapa ni kile kipengele kisemacho"UMULIKE NJE YA MIPAKA YETU",inamaana ndani ya nchi tubaki gizani kama tulivyo sasa,na kwann Forojo Ganze hakutangazwa kama mwanzilishi wa Mwenge?
 
SAMAHANI, I DONT MEAN TO CAUSE HARM, naombeni kuuliza, waarabu walipokuja watakuwa walikuja na mashetani yao eh?

Au uchawi in these lands of ours have always been there hata kabla ya waarabu?

Watu wakiongelea a 'typical african', anaongelea mtu anayeabudu miti, mawe,milima, jua. Sijawahi kusikia habari ya mapepo, wala ufanyaji miujiza.

ENLIGHTEN MEE, OOHH U ENLIGHTENED ONES

Unakijua chuma kimoja kinaitwa Ng'wana Malundi?...
 
Hii mienge hii ni ya kutilia shaka sana, huwa sipati ina maana gani! Maana hata huku Netherlands kuna jengo la chuo linaitwa Aula(Wageningen University) wanalitumia kwa ajili ya mahafali ya PhD na mbele ya hili jengo kuna mwenge unawaka kila siku na wakati wa kuingia wanabeba kitu kama siwa lile la bungeni... Yaani ni full of mysteries tunaishi na kufanya vitu tusivyovijua wala kuhoji mwanzo wake. Hatari sana

Eehee!!! Hata huko wapo pia akina Forojo?
 
Back
Top Bottom