Mada ya debate wala hatujaanza kusoma
Acha ubushi,huna booom nini
samahani, umeshawahi kuugua malaria. Majibu yako kama ya mtoto wa chekechea.
Mkuu nimetoa mada ambayo inanitatiza,kumbuka hili ni jukwaala elimu,na kosa likwapi,au unataka je
Mkuu nimetoa mada ambayo inanitatiza,kumbuka hili ni jukwaala elimu,na kosa likwapi,au unataka je
Ud wamenikubali sb nina 2-11,japo si kubwa lakini wallahu,na kuchaguliwa kwangu ud hakuna uhusiano na mada.nawasilisha,na mkopo ninao mkubwa
Yes jitu hili lipo chuo na ni ud ila si lazima ujue,toa hoja