Hili jitu hivi kweli liko chuo kikuu,maana hata halieleweki?
Sijakwambia nimepiga sana nimekuambia kiasiiiii
Ud wamenikubali sb nina 2-11,japo si kubwa lakini wallahu,na kuchaguliwa kwangu ud hakuna uhusiano na mada.nawasilisha,na mkopo ninao mkubwa
uliza wenzio tuko hapa ud tunapiga vitu gan na tumekuja na matokeo gan,ila hatuna mbwembwe.sasa hyo 2.11 ndio unaona nawe umepigaa..we jamaa sijui umetokea mkoa gani,mshamba hvo!
Bila shaka na wewe bado unasugua benchi na unastahili. Hiyo shahada inaitwa Bachelor of Arts siyo art. Hakuna neno kuulumia katika Kiswahili. Neno sahihi ni Kuhurumia. Geart Thinker eh?Hawa watu wa bachelor of art with education wana matatizo sana,hizo ishu zenu zisizo na fact wala tija kwa taifa usizilete kwa great thinkers.
Kingine,walimu wa historia wamejaa mashuleni nakuulumia wewe utakosa cha kufanya na taaluma yako,ngoja umalize uone utakavyo sugua bench kitaa.
Bila shaka na wewe bado unasugua benchi na unastahili. Hiyo shahada inaitwa Bachelor of Arts siyo art. Hakuna neno kuulumia katika Kiswahili. Neno sahihi ni Kuhurumia. Geart Thinker eh?
Ud wamenikubali sb nina 2-11,japo si kubwa lakini wallahu,na kuchaguliwa kwangu ud hakuna uhusiano na mada.nawasilisha,na mkopo ninao mkubwa
kweli kabisa, jamaa amezidi kujidai.wewe subiri kudisco tu hakuna kingine,nina dogo langu yumo humu JF jina naifadhi alipata 1.5 egm yuko ardhi university ila hana majivuno na fujo kama zako,na mkopo anapewa mzuri tu.
uliza wenzio tuko hapa ud tunapiga vitu gan na tumekuja na matokeo gan,ila hatuna mbwembwe.sasa hyo 2.11 ndio unaona nawe umepigaa..we jamaa sijui umetokea mkoa gani,mshamba hvo!