FM transmitter na FM radio

kwani wazungu wao ndio nani hata uwatolee mfano wa stayli hiyo?
jee sisi lazima tuwe kama wazungu? au kwa vile unawaona weupe ndio unadhani mavi yao hayanuki?.........(joke):lol:
hizo forum unazosema sio za great thinkers. kuna forum za kuuliza maswali kama hayo. you have to think your self.
hapa tunataka maswali magumu tusaidiane. kitu ambacho mwenyewe anaweza kujisaidia kwa nini tumsaidie sisi.
sharobalo amemsaidia kwa kumwambie a-google.
naye kama hajui nini ku-google basi ndio tumsaidie zaidi
mbona sioni jibu baya. yote ni majibu na yote yanafaida
nionavyo mie, it is the lowest level a member of this forum can go but is acceptable

Nakubaliana na wewe ysfmz!
 
Mkuu naona umetoa mpya hapa, unawezaje kusema FM ni digital version ya AM! Nijuavyo mimi tofauti ya AM na FM ziko kwenye mbinu zinazotumika kusafirisha/kusambaza mawimbi ya audio kwa kusaidiwa na Radio frequencies kama CARRIER. Sasa kinacho tokea ni nini: Sauti inachanganywa na hizo carrier frequency ambazo huwa ziko fixed, kwa hiyo inategemea mwenye transmitter anataka mawibi ya radio transmitter yasambazwe kwa mtindo gani AM au FM, kama ni AM basi mawimbi ya sauti yana bebwa na radio frequency kupitia amplitude modulation, sauti ikiwa kubwa amplitude za carrrier inaongezeka ikiwa ndogo inapungua, tatizo la mtindo huu ni kuwa na kelele sana na interference kutokana na magari, pikipiki, storm, umeme wa grid and what have you. Tukija kwenye mfumo wa FM hapo unakuta mawimbi ya sauti yanabebwa na carrier kwa mtindo wa ku-contract na expand carrier frequency (Frequency Modulation-FM), sauti ikiwa kubwa wawimbi ya RF yanakuwa compressed zaidi, sauti ikiwa ndogo yana-expand lakini amplitude zinabaki vile vile, uzuri wa mfumo huu ni kwamba sauti inasikika vizuri sana na hakuna interefence za aina yoyote kwa kuwa interference by nature zinatokana amplitude variation generated by equipment or galactic.

Mwenzangu humu alisema FM is a digital version ya AM! Mimi hilo sihafikiani naye na sijuhi kwa nini anasema hivyo labda kwa kuwa FM inakuwa na fixed amplitude basi mtu unaweza kughafilika ukafikili kwa kuwa analouge to digital conveters zinatoaga a fixed amplitude za bits basi na FM itakuwa hivyo, hiyo si kweli. FM na AM zote zinabaki analogue unless base band ya sauti ikibadilishwa i.e ikawa digitised kabla ya kuchanganywa na carrrier hili sauti hiwe transmitted in digital form by carrier frequencies, labda nirudie hapa kwamba carrier frequencies will always remain analogue you can't transmitt digital signal RAW you need analogue carrier frequency to realize that.
 
Mkuu naona umetoa mpya hapa, unawezaje kusema FM ni digital version ya AM! Nijuavyo mimi tofauti ya AM na FM ziko kwenye mbinu zinazotumika kusafirisha/kusambaza mawimbi ya audio kwa kusaidiwa na Radio frequencies kama CARRIER. Sasa kinacho tokea ni nini: Sauti inachanganywa na hizo carrier frequency ambazo huwa ziko fixed, kwa hiyo inategemea mwenye transmitter anataka mawibi ya radio transmitter yasambazwe kwa mtindo gani AM au FM, kama ni AM basi mawimbi ya sauti yana bebwa na radio frequency kupitia amplitude modulation, sauti ikiwa kubwa amplitude za carrrier inaongezeka ikiwa ndogo inapungua, tatizo la mtindo huu ni kuwa na kelele sana na interference kutokana na magari, pikipiki, storm, umeme wa grid and what have you. Tukija kwenye mfumo wa FM hapo unakuta mawimbi ya sauti yanabebwa na carrier kwa mtindo wa ku-contract na expand carrier frequency (Frequency Modulation-FM), sauti ikiwa kubwa wawimbi ya RF yanakuwa compressed zaidi, sauti ikiwa ndogo yana-expand lakini amplitude zinabaki vile vile, uzuri wa mfumo huu ni kwamba sauti inasikika vizuri sana na hakuna interefence za aina yoyote kwa kuwa interference by nature zinatokana amplitude variation generated by equipment or galactic.

Mwenzangu humu alisema FM is a digital version ya AM! Mimi hilo sihafikiani naye na sijuhi kwa nini anasema hivyo labda kwa kuwa FM inakuwa na fixed amplitude basi mtu unaweza kughafilika ukafikili kwa kuwa analouge to digital conveters zinatoaga a fixed amplitude za bits basi na FM itakuwa hivyo, hiyo si kweli. FM na AM zote zinabaki analogue unless base band ya sauti ikibadilishwa i.e ikawa digitised kabla ya kuchanganywa na carrrier hili sauti hiwe transmitted in digital form by carrier frequencies, labda nirudie hapa kwamba carrier frequencies will always remain analogue you can't transmitt digital signal RAW you need analogue carrier frequency to realize that.

Soma vizuri nilichonadika utaelewa. nimetolea simple example ya digital Vs nalog ili kuumpa tu picha muuliza swali. Ndoo maana nikasema kwa mfano simple.

Ndio maaaana katika jibu la msingi nilichomjibu member mmoja ni kuwa tofauti ya AM na FM sio frequncy. Tofauti yake Ni Modulation. Tena nikawekea neno Modulation msisitizo. So kama mfano wangu wa Digital Vs anaolog umekuchanganya basi zingatia jibu la msingi kuwa tofauti ya AM na FM ni modulation techniques. Sometime inabidi utoe mifano ya ajabu ili kumfanya mtu aelewe kulingana na level ya uelewa wake. .......

Kama kwa siko sawa pia kwa hilo nielimishe mkuu.
 
Lo imekuwaje tena! hapa mimi nime-avoid technical jargon delibarately kwa kuwa nilijuwa muhuliza swali ni lay person; ukiangalia kwa makini nimejaribu sana kutotumia neno modulation mpaka baadae kabisa hili muhuliza swali a grasp ninacho taka kumuelewesha, hili hapo baadae ninapo tumbukiza neno mudulation atakuwa na picha ninacho zungumzai, hizo mkuu ndiyo mbinu ya kutaka kuelimisha a lay person. Labda niongezee kwamba hapa kwenye forum hatuko ku-contend na yeyote, tupo kuelimishana na kubadilishana mawazo kila mtu amepitia njia yake katika mafunzo na hand on experience, it is worthwhile to pass it on without anybody feeling offended; ndiyo hicho MKUU.
 
Lo imekuwaje tena! hapa mimi nime-avoid technical jargon delibarately kwa kuwa nilijuwa muhuliza swali ni lay person; ukiangalia kwa makini nimejaribu sana kutotumia neno modulation mpaka baadae kabisa hili muhuliza swali a grasp ninacho taka kumuelewesha, hili hapo baadae ninapo tumbukiza neno mudulation atakuwa na picha ninacho zungumzai, hizo mkuu ndiyo mbinu ya kutaka kuelimisha a lay person. Labda niongezee kwamba hapa kwenye forum hatuko ku-contend na yeyote, tupo kuelimishana na kubadilishana mawazo kila mtu amepitia njia yake katika mafunzo na hand on experience, it is worthwhile to pass it on without anybody feeling offended; ndiyo hicho MKUU.

Am never offended with constructive criticism mkuu.
Tatizo langu huwa ni moja napenda arugumement .So somtime watu wanadhani nimekuw offended lakini ni katika kuelimika na kuelimishana.

So take it simple .Ukiona nashidnwa kukubaliana na kitu ni ama katika kutaka kujua zaidi na kuelimishwa Itakuwa ajabu kama kila mtu kitu alichoongea kingeeleweka na kukubalika na kila mtu. Hata forum isingekuwa na maana. Najua kuna watu hawapendi kutofautiana but am not among them. napenda majadiliano. Yaanii mimi si mwalimu na si mwanafunzi niko kati kati

Au sio mku
u?
 
Am never offended with constructive criticism mkuu.
Tatizo langu huwa ni moja napenda arugumement .So somtime watu wanadhani nimekuw offended lakini ni katika kuelimika na kuelimishana.

So take it simple .Ukiona nashidnwa kukubaliana na kitu ni ama katika kutaka kujua zaidi na kuelimishwa Itakuwa ajabu kama kila mtu kitu alichoongea kingeeleweka na kukubalika na kila mtu. Hata forum isingekuwa na maana. Najua kuna watu hawapendi kutofautiana but am not among them. napenda majadiliano. Yaanii mimi si mwalimu na si mwanafunzi niko kati kati

Au sio mku
u?

Oh, splendid Bye4Now Mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom