Apollo
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 4,920
- 3,221
habarini wana jf, shepu yangu inanikatisha tamaa kwani kila mwanaume anayeniapproach ukichunguza sana unakuta hana upendo wadhati bali alitamani shepu yangu tu ,na ninagundua kuwa ananitamani pale ninapomkubali baada ya siku mbili anataka mzigo, sio siri ninatamani ningezaliwa shepless nahisi ningepata mwanaume atakayenipenda kweli kweli inaniumiza sana kwasababu wengi wao unakuta ni waume za watu na mimi ni mwiko kutembea na mme wa mtu,kwani ninataka kuwa na familia yangu ,nimechoka sina jinsi nifanyaje niweze kumpata mchumba wa kweli? ni maelezo ya rafiki yangu alinielez jana jioni huku analia,ushauri wakuu please!:A S 465:,
ungeweka picha basi tuone shape ilivyo!
Ina maana wazuri hawawapati wa kuwafaa? Ni unajidanganya tu, tatizo unawahi kuwakubalia wanaume. Next time mchunguze kwanza kwa muda mrefu. Sio shape ndio tatizo, tatizo ni hao wanaokutaka. We hujui kumjua anayekupenda na anayekutaka ni yupi.