Sasa Kisigino naona unataka kusiginwa unamjibu nani sasa hapo mimi au mleta post
Ongera mwaya umbo lako nalizimia
Nipo hapa mchumba mwema ila mwambie hamna ndoa kabla ya kuonja mzigo,naonja kwanza alafu tupange mikakati mingine!!habarini wana jf, shepu yangu inanikatisha tamaa kwani kila mwanaume anayeniapproach ukichunguza sana unakuta hana upendo wadhati bali alitamani shepu yangu tu ,na ninagundua kuwa ananitamani pale ninapomkubali baada ya siku mbili anataka mzigo, sio siri ninatamani ningezaliwa shepless nahisi ningepata mwanaume atakayenipenda kweli kweli inaniumiza sana kwasababu wengi wao unakuta ni waume za watu na mimi ni mwiko kutembea na mme wa mtu,kwani ninataka kuwa na familia yangu ,nimechoka sina jinsi nifanyaje niweze kumpata mchumba wa kweli? ni maelezo ya rafiki yangu alinielez jana jioni huku analia,ushauri wakuu please!:A S 465:,
Sasa Kisigino naona unataka kusiginwa unamjibu nani sasa hapo mimi au mleta post