Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,335
- 6,617
Mkuu wakati wa kampeni umeisha wewe kila wakati unakuja na uzi wa kupingana na kasi ya Dr.Magufuli.
Umeishajiuliza kiongozi wako Lowassa alivyokuwa anatoa ahadi kuwa akichukuwa dola elimu itakuwa bure kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu.
Vipi ulihoji pesa zitatoka wapi au Lowassa akisema marufuku kuhoji.
umegonga kwenyewe