Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,896
- Thread starter
- #161
Kama ukurunzinza unavyokubalika hapo Lumumba.Yaa wakimaliza Uzalishaji zile reject kuna Makengeza huja kuzinunua na kuja kuwaamuru mnyooshe mikono kuashiria mmekubali dirisha dogo la usajili wa Wezi.